Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kakutafsiria??Subiri nimpe anitafsirie muhimu usiniponze[emoji19]
Ngoja kwanza, kwamba Vanny Boy nae alipiga?Harmo baada ya kajala, nyota iliangukia kwa feza kessy ila tu feza alijichanganya kwa kutumika kama escort na Rayvanny kwenye party flani.
Ningekuwa manager wa feza, ningemshauri apambane na rumours za harmo ili aingie mjini zaidi. Pure showbusiness
Yaan kumbuka asiliwee? Huyu wa kutaka kumpora mwanamke mume? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naskia kumbuka haliwi yeye ila anawala yeye .hivo hata wadada watoa ndogo ndo wamemzunguka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahNaskia hemed anatongozwa na pisi anakataa
Hajajibu msg, hata tsap hajafunguaVipi kakutafsiria??
Ule utetezi wake kwa yule kijana aliyeenda kushtaki kwa Mange kufanyiwa nae mchezo mbaya nilicheka sana, yani mno!Yaan kumbuka asiliwee? Huyu wa kutaka kumpora mwanamke mume? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamzungumzia kumbuka yupiii wee??
Duuu me sijawai kutana na mchango wake hadi nimekuwa nikihisi ni robot la likesMbona huwa anacomment sana kwenye threads zangu? Ila ndio mpaka habari imkune kwelikweli!
Mi hiyo siku nilishangaa alipocomment 🤣🤣
😅😅😅 hivi unaelewa kuwa sura chachu ndo huwa zinachajiwa pesa ndefu tofauti na hawa watoto wenye sura za mama zao ?????Kwani muonekano ni shida zake zaidi ya hela? Kibunda ndio muonekano wenyewe (kwake) 🤣🤣🤣
Hili limenipita, ngoja nikamfuatilie msanii wetu mpya.
Ila hiyo ni mbinu ya kubaki sokoni pia, aliitumia Hamisa inamnufaisha mpaka leo.
Mbna Fei hata hakudate na lokoleee? Usije ona Paula alisema kuwa lokole anadate na mcheza mpira, bas lokole aliyekua ana date nae ni wa Azam, na waliachana baada ya mchezaji wa Simba kuingilia pale.Hersi itabidi aingilie hili kati kama alivyoingilia kwa Dogo wa ugali sukari na Juma Lokole!
Nyie hamjui tu, chanzo kikuu ni dogo kukatazwa mahusiano na Juma Lokole 🥱
Najulia wapi ndugu yangu bado nina kamba mguuni mjini hapa!😅😅😅 hivi unaelewa kuwa sura chachu ndo huwa zinachajiwa pesa ndefu tofauti na hawa watoto wenye sura za mama zao ?????
PhdNitajie top 3 ambao ni uhakika, changanya wa sasa na zamani [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujaelewa? Sumi ni mdangaji hakuridhika na Aucho, bado alikuwa anadanga ileile.
Ujue wachezaji wako busy na ratiba yao ni ngumu, hivyo mwanamke unatakiwa kuwa mtulivu na mvumilivu haswa.
Ndio maana Mayele kajiopolea wa kufanana nae wala hana stress.
Nimeyatimbaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]