Kheri James: Kumtukana Rais sasa basi

Well said [emoji122][emoji122][emoji122][emoji106][emoji123]
 


Kama HAKI IPO, wakibaki kwenye VITUO vya kupigia kura wewe una WASIWASI WA NINI?
 
Si mtwambie hayo matusi tuyasikie? Au na nyie mnasikia tu kama sisi?
 
Kweli vichwa vyenu vimebaki makasha ya kubebea meno!! Kwa hiyo hayo ndo matusi na vitisho?
 
Huyu dogo naye ajichunge asije akaishia the Hague akiwa na umri mdogo .Haya yanayowapata viongozi wenye viburi wa nchi zingine Tanzania is not exceptional.Kama uncle wake ana mbwelambwela kwenye kampeni za uchaguzia akubaliane na Hali halisi.
Kwahiyo hutaki amjibu mpinzani wake ambaye kila siku anatukana watu?
 
CCM tumeshikwa mwaka huu , kwa sababu ya ubishi ,wa kukataa kumkata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…