Kheri James: Kumtukana Rais sasa basi

Kheri James: Kumtukana Rais sasa basi

Sijawahi kumsikia Mgombea wa Chadema akitukana zaidi ya kuelezea masuala na facts mbalimbali za yaliyofanywa na serikali ya awamu ya tano.Labda Mimi nitakuwa sijui matusi
Ukweli ndio wanapewa fact,wamejaribu kutunyima haki,kuwapa watu makesi ya uongo,kujifanya wao mungu watu,leo wanaelezwa ukweli eti wametukanwa pambavu hawa,eti ns huyu choko anatishia watu eti mtaona kifatacho ITV atafanya nini,labda wategemee polisi lkn Sisi kwa Sisi hawatuwezi
 
Sikiliza hiyo video utaelewa kinachosemwa. Au kwako maana ya matusi ni yale ya nguoni? Kasome definition ya neno tusi kwenye kamusi. You can even just google. Hilo la nguoni wala siyo tusi.
CCM wao ni ruksa kuwabambikia kesi kuwatukana wapinzani?
 
Kwani huyo anayesema 'wakimugusa tu moto utakaowaka hamuna atakayeweza kuuzima' alikuwa anamtisha nani? Huyo anayesema 'mawakala wa chama chake watakapokuwa wanaenda kuapishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wasindikizwe na umati wote uliohudhuria kwenye mkutano wake pale Ifakara' alikuwa anamtisha nani? Na kwamba umati wote huo utakapoenda kupiga kura hiyo tarehe 28 Oct 2020 ubaki hapo hapo kwenye kituo cha kupigia kura na kuhesabu kura hizo, alikuwa anamtisha nani? Na akasema maeneo yote nchi nzima wafanye hivyo, alikuwa anamtisha nani?

Arudi tu kwao Ubeligiji akapambane na covid 19, asituvurugie amani yetu. Tanzania ni kitovu cha amani Afrika.
Na yeye ni mtanzania na hii ni nchi yake pia!
 
Nimeisikiliza clip ya Kheri James, inaelekea ana hofu kubwa kwa Chadema kuwa na mawakala kwenye vituo vya kupigia kura.
 
Hapo ndipo patamu. Ukweli wote utakaposemwa kuhusu yeye na chama chake hapatakalika. Siri zote za chama hicho zitakapowekwa hadharani itakuwa ni janga kubwa kwenye chama hicho. Sauti na video za waliopanga mashambulizi yake sept 2017 zikiwekwa hadharani itamlazimu asitishe hata hizo kampeni zake kwani ni watu alio nao karibu! Msitake tufike huko. Yaliyopita si ndwele tugange tu yajayo kwa ustaarabu na kuheshimiana. Tarehe 28 Okt 2020 yule wa kuchechemea ataendelea kuchechemea na yule wa kuzimiabataendelea tu kuzimia. Cha mhimu tujiepushe sote kuvuruga amani katika kipindi hichi cha silly season!
Kweli wewe pimbi
 
Kwani huyo anayesema 'wakimugusa tu moto utakaowaka hamuna atakayeweza kuuzima' alikuwa anamtisha nani? Huyo anayesema 'mawakala wa chama chake watakapokuwa wanaenda kuapishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wasindikizwe na umati wote uliohudhuria kwenye mkutano wake pale Ifakara' alikuwa anamtisha nani? Na kwamba umati wote huo utakapoenda kupiga kura hiyo tarehe 28 Oct 2020 ubaki hapo hapo kwenye kituo cha kupigia kura na kuhesabu kura hizo, alikuwa anamtisha nani? Na akasema maeneo yote nchi nzima wafanye hivyo, alikuwa anamtisha nani?

Arudi tu kwao Ubeligiji akapambane na covid 19, asituvurugie amani yetu. Tanzania ni kitovu cha amani Afrika.
Dhulma na amani huwa havikai pamoja, bali kusema ukweli ni hatua muhimu kuifikia haki na amani ya kudumu!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Kwani huyo anayesema 'wakimugusa tu moto utakaowaka hamuna atakayeweza kuuzima' alikuwa anamtisha nani? Huyo anayesema 'mawakala wa chama chake watakapokuwa wanaenda kuapishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wasindikizwe na umati wote uliohudhuria kwenye mkutano wake pale Ifakara' alikuwa anamtisha nani? Na kwamba umati wote huo utakapoenda kupiga kura hiyo tarehe 28 Oct 2020 ubaki hapo hapo kwenye kituo cha kupigia kura na kuhesabu kura hizo, alikuwa anamtisha nani? Na akasema maeneo yote nchi nzima wafanye hivyo, alikuwa anamtisha nani?

Arudi tu kwao Ubeligiji akapambane na covid 19, asituvurugie amani yetu. Tanzania ni kitovu cha amani Afrika.
Nalienda sehemu kuulizia kitu fulani. Nikaambiwa nimepata. Wakasema mhusika, tall, ametoka kidogo tu. Nikasubiri. Punde kaingia jamaa mfupi kwelikweli. Kaambiwa mimi ni mgeni wake anisikilize. Niliwaza sana. Hili likoje emolo au mbilikimo kuitwa tall? Leo nimelikuta dr. Utopolo kujiita dr. Akili!
 
Na yeye atashikwa pabaya zaidi. Jino kwa jino hadi itambidi arudi kwao Ubeligiji akaendelee na lockdown ya covid 19.
Lissu haogopi hoja yeyote kama ilivyo kwa jiwe, mkijaribu tena kutumia SILAHA ZA KIVITA safari hii na sisi tutatumia silaha zetu za jadi. Mumbwa ninyi. Shindaneni kwa hoja KAMA MNAZO.
 
Sikiliza hiyo video utaelewa kinachosemwa. Au kwako maana ya matusi ni yale ya nguoni? Kasome definition ya neno tusi kwenye kamusi. You can even just google. Hilo la nguoni wala siyo tusi.
Ninyi WAHUNI hamstahili kuendelea kutawala nchi hii tena, mnapaswa kuungana na KANU ya kule Kenya.
 
Huyu dogo naye ajichunge asije akaishia the Hague akiwa na umri mdogo .Haya yanayowapata viongozi wenye viburi wa nchi zingine Tanzania is not exceptional.Kama uncle wake ana mbwelambwela kwenye kampeni za uchaguzia akubaliane na Hali halisi.
 
South Afrika ndiyo inaongoza kwenye matukio kama hayo kwa Afrika. Amerika inaongoza duniani kwa matukio ya aina hiyo. Sisi ni negligible. Kumbuka maendeleo ya nchi yanaambatana (direct propotional) na maongezeko ya uhalifu kama huo.
Mkuu hili jibu sidhani kama hata wenzako wataliafiki
 
Back
Top Bottom