Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Sikia wewe kuku wa kitoga unakula kama nchw a bhnaUnataka kuna kula kitimoto kilo mbili na mzinga wa nyagi kwangu hakuna nenda kwa Freeman Mbowe🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikia wewe kuku wa kitoga unakula kama nchw a bhnaUnataka kuna kula kitimoto kilo mbili na mzinga wa nyagi kwangu hakuna nenda kwa Freeman Mbowe🤣
Madam jambo letu nililisahau. Kesho uhakika 100%.
Tusubiri kwanza Yesu ateswe nitarudi kukutakia kheri ya Pasaka.
Ila ww kuku unashidaWeeee kweli subiri subiri yaumiza matumbo au ngoja ngoja utakuta mwana si wako😄
Hapo bado miaka mingap hivi? koda kubwa kumuita mtoto Johnnie Walker
Iyo nitakuwa barraBasi twende Easter Monday
Barra beach, mi ntaenda next SundayIyo nitakuwa barra
Kumbe Johnnie Walker mtoto eehWeeee kweli subiri subiri yaumiza matumbo au ngoja ngoja utakuta mwana si wako😄
Hapo bado miaka mingap hivi? koda kubwa kumuita mtoto Johnnie Walker
Lakini mambo ya kikubwa nayawezaKumbe Johnnie Walker mtoto eeh
Kwanini usinyww maji tyAsantee, you too dear🤗
Me niandalie Smirnoff 2 tu zitanitosha
Asante sana mzee wa I mean no malice to nobody. 🙏🙏🙏 Nawe piaSpecial wish to My team jf usiku wa Manane Mimi intelli, mwizi anaye chipukia National Anthem, mpiga chaboo Poor Brain, miyeyusho stow away, mcharuko Dahan, Kanali G, mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, chambo wa chama Cha wezi Analyse, madam Bantu Lady, nusu kichwa Half american, mkimbizi Mr kenice,
Unaiga misemo ya watAsante sana mzee wa I mean no malice to nobody. 🙏🙏🙏 Nawe pia
Ubaguzi uo kwani usingetaja majina ingekuaje??Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda
Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele
Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie tokea kwenye ujobless wa kimataifa Intelligent businessman Marcy mama yangu wa mizinga Jack Palladino broo wa jd nitakununulia Kanali G miss bantu sijakusahau Bantu Lady dogo langu mshamba_hachekwi lofa wa masaki zwenge ndaba To yeye Half american kama nimekusahau jiongeze tu hapa weka jina chini
Usijihis vibaya mkuu hao ni watan zanguUbaguzi uo kwani usingetaja majini ingekuaje??
Lete na wewe wa kwako tuishi nao 😀😀😀Unaiga misemo ya wat
I have more friend but for princepalLete na wewe wa kwako tuishi nao 😀😀😀
Asante sana mdogo wangu 🙏🙏🙏 tusiishie tu kupeana wishes toa code wapi kinasomeka siku hiyo 🍻Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda
Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele
Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie tokea kwenye ujobless wa kimataifa Intelligent businessman Marcy mama yangu wa mizinga Jack Palladino broo wa jd nitakununulia Kanali G miss bantu sijakusahau Bantu Lady dogo langu mshamba_hachekwi lofa wa masaki zwenge ndaba To yeye Half american kama nimekusahau jiongeze tu hapa weka jina chini
Kwa sisi tusiojua kidhungu tutafsirie kwanzaI have more friend but for princepal
Kule kule kwa siku zote wavuvi kempuAsante sana mdogo wangu 🙏🙏🙏 tusiishie tu kupeana wishes toa code wapi kinasomeka siku hiyo 🍻
Mwalimu wangu @Intellligent businessman mwambieKwa sisi tusiojua kidhungu tutafsirie kwanza