kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
- Thread starter
-
- #61
Hapo penye red,tayari umeishatukana na rekodi yako imeandikwa na malaika tayari
Hivi nyie ninyim nani kawaloga mnajikanyaga wenyewe,
utabiri wa askofu kakobe unawaandama hadi uwapate.
Unafahamu kuwa hata sasa serikali 3 ndizo zinafanya kazi!
1.serikali ya muungano
2.serikali ya Zanzibar
3.tawala za mikoa na serikali za mitaa.(Tanganyika)
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
Warioba kafie mbele na shirikisho lako
Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.
CCM hoyeee,
Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.
Unatisha kaka!
Serikali mbili ndio habari ya mujini.
Unafahamu kuwa hata sasa serikali 3 ndizo zinafanya kazi!
1.serikali ya muungano
2.serikali ya Zanzibar
3.tawala za mikoa na serikali za mitaa.(Tanganyika)
Ninyi mnataka kuchonganisha watu. Kwanza mapendekezo ya Serikali tatu yalikuwa hayavunji muungano na wala Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Kumbuka kinachojadiliwa ni katiba ya Jamhuri ya muungano. Pili kiapo hicho ni uaminifu kW Jamhuri ya Muungano ambayo wanaojadiri Rasmu ya katiba yake! Mnataka kuleta chuki ambayo haina mantiki!Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
Warioba kafie mbele na shirikisho lako
Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.
CCM hoyeee,
Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.
Lazima utakuwa umekunywa ngedule sio bure wewe.Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
Warioba kafie mbele na shirikisho lako
Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.
CCM hoyeee,
Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.
Ninyi mnataka kuchonganisha watu. Kwanza mapendekezo ya Serikali tatu yalikuwa hayavunji muungano na wala Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Kumbuka kinachojadiliwa ni katiba ya Jamhuri ya muungano. Pili kiapo hicho ni uaminifu kW Jamhuri ya Muungano ambayo wanaojadiri Rasmu ya katiba yake! Mnataka kuleta chuki ambayo haina mantiki!
Wewe ni mjinga mkubwa sasa kwenye hii sayari, hata darasani inaonekana ulikuwa kizibo cha kufa mtu, nenda kapige matarumbeta.Naunga mkono hoja
Lazima utakuwa umekunywa ngedule sio bure wewe.
Wewe ni mjinga mkubwa sasa kwenye hii sayari, hata darasani inaonekana ulikuwa kizibo cha kufa mtu, nenda kapige matarumbeta.
Nasema wewe ni mjinga na utakuwa na wazzimu humo kichwani, kichwa chako kinatumika kufugia nywele na ndevu na kukupa shepu ila akili hakunaUnanionea kaka Gongo ya Bavicha situmii,akili yangu iko safi na fresh wala sio ile ya wenzetu wa Bavicha.
Mbulula kweli wewe hahaha....hii ni tafsiri sisisi....kafie mbele huko
Ndio una GPA zaidi ya 4.5 ila huna busara rubbish weye, mwanaharamu kwa taifa hiliWe mnywa gongo kwa taarifa yako kwa upande wa darasani sijapata GPA chini ya 4.5 kuanzia first degree hadi Masters,sema jingine we Bhavicha
Nasema wewe ni mjinga na utakuwa na wazzimu humo kichwani, kichwa chako kinatumika kufugia nywele na ndevu na kukupa shepu ila akili hakuna