Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

Saa nyingine huwa naona kumhusisha Mungu kwenye viapo vyetu simply ni unafiki na dhihaka kwa Mungu kwani viapo vyenyewe vimebakia tu kama desturi, vinakyiukwa mchana kweupe bila hata hofu ya jina la Mungu. So ikiwezekana na sisi tuwe na viapo kama vya Amerca kuepuka ghadhabu ya Mungu.
Yaani lijitu linaapa kwa kumtaja Mungu kuwa atailinda Katiba halafu baadae linaikojolea kabisa hiyo Katiba.
 
Kwani lazima tufanane na Marekani. Hayo ni mawazo ya kitumwa.
Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mahubiri ya mchungaji Matsai wa KKKT kimara kuhusu viapo.

Uelewa wa mahubiri yale ukanivuta kujifunza namna viongozi mbalimbali wanavyokula viapo vyao vya utumishi nikianzia wa hapa nyumbani na jana nilifuatilia kiapo cha Rais Joe Biden wa Marekani.

Bado natafakari kwanini Rais wa Marekani anaapa kuitumikia Ofisi ya Rais kwa uadilifu tofauti na marais wa nchi nyingine ambao huapa kuwatumikia Wananchi kwa uadilifu.

Je, Ofisi ya Rais ndio Wananchi?

Lakini kitu kilichonifurahisha ni maneno machache yaliyomo kwenye kiapo cha Rais wa Marekani tofauti na kiapo cha Rais wa Tanzania.

Lakini nimeshangazwa kwamba Rais wa Marekani siyo lazima aseme "Ewe mwenyezi Mungu nisaidie" anapohitimisha kiapo chake.

Nawatakia Alhamis yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Walao viapo na kwenda kinyume na viapo hivyo iko siku vitawachenjia
Nalog off
 
Itakuwa kiingereza huwa husikii vyema, aliposema "So help me God" alimaanisha nini kwenye kile kiapo?
 
Back
Top Bottom