Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mahubiri ya mchungaji Matsai wa KKKT kimara kuhusu viapo.

Uelewa wa mahubiri yale ukanivuta kujifunza namna viongozi mbalimbali wanavyokula viapo vyao vya utumishi nikianzia wa hapa nyumbani na jana nilifuatilia kiapo cha Rais Joe Biden wa Marekani.

Bado natafakari kwanini Rais wa Marekani anaapa kuitumikia Ofisi ya Rais kwa uadilifu tofauti na marais wa nchi nyingine ambao huapa kuwatumikia Wananchi kwa uadilifu.

Je, Ofisi ya Rais ndio Wananchi?

Lakini kitu kilichonifurahisha ni maneno machache yaliyomo kwenye kiapo cha Rais wa Marekani tofauti na kiapo cha Rais wa Tanzania.

Lakini nimeshangazwa kwamba Rais wa Marekani siyo lazima aseme "Ewe mwenyezi Mungu nisaidie" anapohitimisha kiapo chake.

Nawatakia Alhamis yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!


George H. W Bush January 20, 1987



Barack Obama January 20, 2009



Joe Biden jana January 20, 2021

Wote wanahitimisha na neno "So help me God"

Sasa sijui hapa kwetu wakisema Mungu nisaidie nini kinawakera watu???
 
Mnaapa halafu mnakuwa madikiteita, kuua watu, kupoteza watu, sandarusi za maiti coco beach. Kuwabambkia wau kesi
TO CROWN IT ALL, KUVUNJA KATIBA WAZI WAZI MLIYOAPA KUILINDA, kama anavyofanya Ndugai na akina Halima!
hivi ulishawahi kuwaza ile sala/dua wanayoanzaga nayo bungeni huwa imeelekezwa kwa mungu yupi?
 
Umeambiwa siyo lazima kusema hivyo bali ni hiyari.

Vipi huko kwenu Malawi Corona imepungua?
Nikusaidie, "so help me God" ni maneno ambayo mwanzo hayakuwepo kwenye kiapo lakini baadae George Washington aliyaongeza kwenye kiapo chake na tangu hapo marais wote waliofuatia wamekua wakiyasema wakiongozwa na muapishaji.
 
Huku tunaiba kwanza ndiyo tunaapa ili kusawazisha Yale masanduku feki tulio ingiza, hivyo lazima tuseme hivyo ili kuomba msamaha
 
Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mahubiri ya mchungaji Matsai wa KKKT kimara kuhusu viapo.

Uelewa wa mahubiri yale ukanivuta kujifunza namna viongozi mbalimbali wanavyokula viapo vyao vya utumishi nikianzia wa hapa nyumbani na jana nilifuatilia kiapo cha Rais Joe Biden wa Marekani.

Bado natafakari kwanini Rais wa Marekani anaapa kuitumikia Ofisi ya Rais kwa uadilifu tofauti na marais wa nchi nyingine ambao huapa kuwatumikia Wananchi kwa uadilifu.

Je, Ofisi ya Rais ndio Wananchi?

Lakini kitu kilichonifurahisha ni maneno machache yaliyomo kwenye kiapo cha Rais wa Marekani tofauti na kiapo cha Rais wa Tanzania.

Lakini nimeshangazwa kwamba Rais wa Marekani siyo lazima aseme "Ewe mwenyezi Mungu nisaidie" anapohitimisha kiapo chake.

Nawatakia Alhamis yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

siyo lazima kusema "Mungu nisaidie". Kwani maana ya SO HELP ME GOD, ni nini?​

 
Na hili neno kwenye Pesa note za marekani linalosema IN GOD WE TRUST linamaanisha nini? Wameliondoa neno Mungu kwenye kiapo lakini wakaliweka kwenye pesa why?

View attachment 1682347
Hiyo ni abreviation ya Gold ,Oil and Diamond ndo wana trust na wala sio God lile ni taifa teule la shetani ndg yangu huezi sikia wanamtja Mungu mahali popote
 
Maneno mengi lugha hujui weka hapa hicho kiapo cha rais wa USA
 
Colonial mentality still grinds us. Very bad indeed!. Something done by swines is better than that one done by our beloved brothers, real!!?. So its good for you when a swine defecates in public than a fellow brother conceiling himself in the toilet!!? Mtaliwa sana tigo nyie watu wa dizaini hii! Nyambaaaf!
 
Hiyo ni abreviation ya Gold ,Oil and Diamond ndo wana trust na wala sio God lile ni taifa teule la shetani ndg yangu huezi sikia wanamtja Mungu mahali popote
Oil is not the future. Sasa hivi watu wameanza kutembelea magari ya umeme.

Hayo madini mnayoyaongelea siku hizi yamezidiwa thamani na technology.

Mfano: Kampuni ya juzi tu Uber ina thamani kubwa kuliko kampuni lolote kubwa la madini unalojua.
 
Oil is not the future. Sasa hivi watu wameanza kutembelea magari ya umeme.

Hayo madini mnayoyaongelea siku hizi yamezidiwa thamani na technology.

Mfano: Kampuni ya juzi tu Uber ina thamani kubwa kuliko kampuni lolote kubwa la madini unalojua.
Bado havijaprove kama ni vya kutegemewa sana na vikadisplace Gold na oil bro
 
Back
Top Bottom