Kiarabu ndio lugha ya asili ya sayansi, tiba, biashara na elimu kwa ujumla

Huyu mbona anakubalika na scientist wengi tu wa kizungu. Mkuu wewe unashida nae gani
Fatilieni vizuri historia ya dunia bro, Iraq, Iran kama sikosei pamoja na Syria kwa asili hawa sio Waarabu; wanaunganishwa na Uarabu leo kwasababu ya Uislam but before Islam those countries were not part of Arab league. Iraq ni taifa la siku nyingi sana hapa duniani, I think ndio taifa la kwanza ulimwenguni. Waarabu wamekuja baadae sana baadae sana, Waarabu wametanguliwa na black people for years in the world. Mwarabu ni product ya Iraq na Misri ya weusi ya those years. So huyu mwana sayansi mwenye asili ya Iraq ieleweke hakua mwarabu. Vita vya Ottoman ndio vilisababisha mashariki ya kati kua na uarabu everywhere na that war was to spread Islamic world-wide, waliiteka hadi Ulaya mashariki na of course walikua wanakwend hadi Ulaya Magharibi, walikwamia Italy pale yalipo makao makuu ya Roman Catholic leo yaani Vatcan, sababu zinajulikana
 
Sababu ni ipi basi ?
 
Reactions: Lax
 

Attachments

  • 20240922_113907.jpg
    76.9 KB · Views: 5
  • 20240922_113914.jpg
    78.9 KB · Views: 4
  • 20240922_113923.jpg
    78.9 KB · Views: 5
Kila mwanasayansi anamchango wake mkuu
 
WAGIRIKI UNAWAACHAJE
 
WAGIRIKI UNAWAACHAJE
Wagiriki nimewataja vizuri tu hapo juu.
Muhimu nilichosema ni kuwa mambo ya wagiriki yasingejulikana au ingechukua karne kadhaa kuja kujulikana kama si waislamu waliokushanya kazi zao pale Baghdad na kuzitafsiri halafu kuzisambaza na kuzifanyia kazi.
Jengine mambo ya wagiriki mengi sana baadae yalisahihishwa hapo na kutolewa ufafanuzi uliokuza elimu kwa wanadamu.
 
Bosi majibu sahihi ni kuwa kila nafsi itaonja mauti! Hayo mengine hayana uhakika
 
Unaongelea WAISLAMU au WAARABU?
 
Acha upuuzi, nyie wa Islam, hata mavi ya wa Arab, mmtasema ni matamu kama chips yai,
Tunawajua, Galileo Galilei, Isaack Newton, Tesla, Archimedes, Michael Faraday, nk, wote hao hakuna alikuwa, anaongea Arab,
Ten most tech companies, zipo, ulaya na, America, Tesla, Deep mind, google, Microsoft, X, Facebook, hakuna iliyoanzishwa na mwarab,
 
Mleta uzi anaweza kuacha kwenda kusali msikitini; ili nchi iwe na amani, acha tuendelee kujadiri lugha tu, mambo ya dini tuyaache for sometimes
kikawaida kila mtu huwa anasema kuwaambia imani zinine kua kuna taarifa wakizifahamu wataachana imani hiyo. so ni jambo la kawaida wewe weka hizo details watu watapima kama ni zina point ama lah.

kila la kheri
 
Mahaba yako kwa mudi hayaelezeki aiseh!

Hivi Kurani imeandikwa mwaka gani?
 
hoja kama hii huwa inabadilika badilika kwa sababu kila kipindi kuna ukanda flani unakua mbele sana mambo fulani
 
Ha
hoja kama hii huwa inabadilika badilika kwa sababu kila kipindi kuna ukanda flani unakua mbele sa
Kihistoria hakuna kitu Mwarabu amewahi kukifanya hapa duniani zaidi ya Uislam. Hakuna; by the way, ujio wa dini hi ndio umeharibu kabisa amani ya dunia, labda hili ndio tunaweza kujisifia nalo. Wameua Mashariki ya kati, wameua Ulaya mashariki, wameua na kuteka na kufanya makazi Africa ya kaskazini, wanaua hadi sasa hvi Somalia, Sudan, Nigeria and everywhere; hiki ndio kitu remarkable kutoka Arab league; mambo ya sayansi na lugha yao ni UONGO tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…