Kiarabu ndio lugha ya asili ya sayansi, tiba, biashara na elimu kwa ujumla

Nilipofika hapa nikakoswa maana ya uzi wako. Maana walichokifanya ni kutafsiri tu ili watu wa lugha yao nao waweze kuelewa kinachozungumziwa ndani ya hvyo vitabu na ni utaratibu wa kawaida kutafsiri vitabu ata kwenye nyakati za sasa
Msichokijua wengi wenu na tulichokieleza mara nyingi ni kuwa habari za Socrates na wengine uliowataja zisingejulikana kabisa au zingechukua karne nyingi kujulikana kama si waislamu ambao ndio waliozifuata na kuzitafsiri kuingiza lugha ya kiarabu kwanza na baadae lugha hizi unazozijua sasa.
fuatilia vyema mzunguko wa maarifa na elimu duniani utafahamu vizuri.
 
Suala muhimu ni kujua kuwa elimu ni rehma za Allah.Wagiriki hawakuwa waarabu lakini waliyoyafanya yaliyotakana na muongozo kwa njia za siri kutoka kwa Allah.
Walichofanya waislamu na hatusemi waarabu ni kuwa walitafsiri yaliyofanywa na wagiriki na kwa kweli ilikuwa ni sehemu ndogo sana ya elimu kwani mengi ya wagiriki yalipingwa kisayansi na mengi yalibaki.Aliyofanya Khwarizm ushahidi umeonesha kuwa alihamasika na yaliyofanywa na akina Euclid lakini ni tofauti na hali ya juu kuliko ya Euclid na wenzake.
 
Pamoja mkuu.
Wadau wajaribu huku Navier-Stokes equation. Ukiweza hii unapata $1 million na heshima kubwa katika ulimwengu wa mathematics
 
Mtu unawezaje kutumia wako kuandika ujinga mrefu namna hii.
 
Pamoja mkuu.
Wadau wajaribu huku Navier-Stokes equation. Ukiweza hii unapata $1 million na heshima kubwa katika ulimwengu wa mathematics

equation haina jipya zaidi ya kutumia misingi kialjebra iliyoasisiwa na Alkwarizm
 
Uongo taslimu. Uislamu na elimu wapi na wapi, miaka na miaka Kigiriki kinajulikana kua ni lugha ya sayansi. Hata Isack Newton pamoja na kwamba alikua Myahudi aliyezaliwa na kukulia hadi kufia Uingereza but zile kanuni zake za motion alilazimika kuziandika kwa Kiyunani/Kigiriki. Uislamu na elimu wapi na wapi kaka? Msukumo wa Waislamu kwenda shule umeanza miaka ya juzi juzi tu, labda watu kama wa Iran hawa wamekua na mwamko wa elimu kabla hata ya Uislamu kuja
 
Vipi kuhusu kigiriki na kilatini
 
Moja ya kitu kikubwa zaidi hata ya algorithm iliyoletwa na Waarabu Waislamu ni sarufi 0 (sifuri) kwani namba Za kirumi hazikuwa na sifuri.
 
Very myopic Uislamu kwako unaoujua ni wa Tanzania tuu.
 
Au sio.... na waarabu wote wana uhakika na pepo ya mabikira 7... hata kama watende dhambi vipi... pepo ni yao... ila nyie wengine mtapitishwa kwenye mizani... na motoni mtaingia..

Ipa silaumu sana UMATI MUDI maana kuna wengine nishawahi waona, wapo vuzuri sana kichwa... ila wengi wao hasa wa upande fulani... hamna kitu kabisa
 
Umati mudi hauna akili wawoo wanaona ety warabu ni almasi wajinga sana
 
Yaaaan hawa watu mudi bhana amekuja juzi juzi tuuu sasa hawo waliopita walikuwa wanaongeaa vip
 
Wewe timu yesu wa kidhungu umepimaje vichwa vya watu umetumia methodology gani
 
Kama kiarabu kilikuwa na lugha za sayansi mbona mumekalia kujilipua,kuoa watoto wadogo na kufuga majini.
 
Hiyo ni lugha ya dini ya kiislam, siyansi tunaona kigiriki na kilatini na wanasayansi tunawasoma ni wagiriki, wapi kuna wanasayansi wa kiarabu?
 
Kama alifuga majini mbona mnaogopa watumiaji wa nguruwe.au majini wa yesu walikuwa wapenzi wa nguruwe.
Hakuna anaye ogopa nguruwe, kama majini ni sehem ya uislam hata nguruwe pia angekuwa mdau wa uislam...

Ila dini imetupa vitu vzur na vbaya hata kwa afya imekataza.. Nguruwe sio mzuri kwa afya yako..

yesu wa kizungu alikuwa anafuga majini na kuongea nayo kama kawaida na hata yeye mwenyewe alikuwa sio mdau wa nguruwe ila nyie yesu weusi Ndio mnaishobokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…