Kiarabu ndio lugha ya asili ya sayansi, tiba, biashara na elimu kwa ujumla


Nakupa mfano wa kukuonesha Waislamu hata baada ya kumjua Aristotle wameharibu sayansi.

Waislamu wameiandika habari ya mvua inavyopatikana kwa kuikosea, kwa juu juu, bila detail za process ya evaporation

Baada ya kuisoma kwa Aristotle aliyeiandika vizuri zaidi, aliyeongelea process ya evaporation, miaka 1,100 kabla ya kuandikwa kwa Quran.
 
nani kakwambia kuwa mvua hupatikana kwa evaporation.
 
Kichwa Yako imejaa mapumba tupu kiarabu ndio lugha ya kisayansi Tweneke bebe.. "€¥<¢£€^°
 
Ushapingana na Quran yako mwenyewe kwa ubishi tu, unaelewa hilo?

Hiyo link inatuonesha Aristotle kawafundisha Waislamu.
Kichwa chako hakioni mbele.
 
Aristotle aliandika haya mambo miaka 1,100 kabla ya Quran kuandikwa.

Hivyo kama wamekopi tu kwa Aristotle, si ajabu.

Haya mambo yalijulikana na kuandikwa na Wagiriki wa kale kina Aristotle na Anaxagoras miaka 1,100 kabla ya Quran kuyaandika.

Kwa hiyo Quran haikuwa imeandika kitu kipya hapo, by that time hiyo habari ilishakuwa old knowledge.
 
kama alikopiwa Aristotle mbona maelezo ni tofauti sana na alivyosema yeye na hata sayansi ya kisasa imethibitisha kuwa alichosema Aristotle ni tofauti na ni makosa kushusiana na mvua.Alipatia sehemu moja na akashindwa kuona mengine.
Hata waislamu wenyewe wa mwanzo hawakuelewa maana halisi ya ufafanuzi huo ulio sahihi zaidi.
 
Sasa unakataa kwamba Waislamu wamejifunza kwa Aristotle?
Na wewe jee unakataa kuwa waislamu ni watu wa elimu na huwa wanachukua elimu popote na kwamba habari za Aristotle zisingekufikia kama si waislamu
 
Quran ina makosa mengi sana, hivyo haiwezi kuwa kitabu cha Mungu.

Ni kitabu cha watu tu waliokuwa wanabumbabumba enzi za giza.

Nikikuwekea makosa ya kwenye Quran huwezi kumaliza kuyatatua hapa.

Bisha.
 
Na wewe jee unakataa kuwa waislamu ni watu wa elimu na huwa wanachukua elimu popote na kwamba habari za Aristotle zisingekufikia kama si waislamu
Waislamu si watu wa elimu.

Waislamu ni watu wa imani.

Wangekuwa watu wa elimu wasingeikubali Quran yenye makosa chungu nzima.
 
Waislamu si watu wa elimu.

Waislamu ni watu wa imani.

Wangekuwa watu wa elimu wasingeikubali Quran yenye makosa chungu nzima.
Ni matumaini yangu kuwa umeelewa maudhui ya huu uzi mpaka umeshindwa kukanusha kuwa waislamu kupitia lugha ya kiarabu ndio waliosambaza elimu kwa dunia nzima.Baada ya kazi hiyo mpaka na wewe umeelimika japo hupendi kushukuru.
Habari za Qur'an ni mada nzito zaidi kwako na wote waliojaribu wamekwama.Wewe binafsi umekwama kutetea falsafa ya Aristotle iliyosahihiswa na waislamu na ambayo Quran imechambua kuliko wote hao. na kama inavyojulikana sasa kupitia sayansi.
 
Watu walikuwa na elimu tangu enzi za Mafirauni Egypt huko, wakajenga ma pyramid. Wakasambaza elimu kabla Uislamu haujajulikana ni nini.

Umeanza kusema Waislamu wa Baghdad wamemfundisha Aristotle, tukaja kuona Baghdad imeanzishwa miaka 1262 baada ya Aristotle kuandika sayansi yake, na actually Aristotle ndiye aliyewafundisha Waarabu wa Baghdad sayansi.

Nakwambia hivi, Quran imejaa ujinga na uongo.

Hivyo Uislamu hauwezi kuwa dini ya sayansi.

Nimekwambia bisha nikuwekee ushahidi hapa.

Kwanini hujibu kwa neno moja tu useme "nabisha" nikuwekee ujinga wa Quran ambao nina hakika huwezi kuuapangua hapa?

Andika "nabisha" tu, sitaki maneno mengi.
 
Kuhusu QUran usinilazimishe kusema unavyotaka ili utukane tu kama walivyofanya wenzako humu humu JF na wakashindwa kwa hoja.
Nimegundua hata maana ya sayansi huijui.Soma hapo chini.
Science is the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation, experimentation, and the testing of theories against the evidence obtained.
"the world of science and technology"
Kwa maana hiyo kabla ya kuteremka Quran na yaliyotendwa na waislamu pale Baghdad hakukuwa na sayansi.Kilichokuwepo ni falsafa ambazo zilikushanywa na waislamu na ikawa kama ni gia ya kuanzisha sayansi,
Kazi ya majaribio na uwekaji data kwa mara ya mwanzo ulifanywa na akina Avicenna na Ibnu Hayyan.Wanahistoria wote wa sayansi wanalijua hilo isipokuwa wewe kwa vile hujui hata maana ya sayansi
 
Kama mwarabu wa uarabuni angeandika haya labda ningeona anapromote kilicho chake. Ila sasa ni mwarabu mweusi kama mkaa ndio anarukaruka hapa hata babu zake waliosababisha uwepo wake amewasahau 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sayansi inaenda na evidence.

Quran inasema kuna Mungu, Allah ni Mungu.

Quran imetoa evidence gani kwamba huyo Allah yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…