Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Wewe mpumbavu kweli. Una mawazo na akili zilizile za laana na za kimaskini...

Ukitaka kujifunza kutoka kwenye umaskini na laana zako, lazima umwangalie aliyefanikiwa na ujifunze toka kwake..!!

Sasa unataka akuletee "swagga" gani? Za waliolaaniwa na masikini kama nyie???

Very stupid argument!!
Unapayuka kama umeingiziwa ukuni kiume
 
Duniani kote watu wenye hali duni kiuchumi ni turufu ya mwanasiasa wala si Tanzania au Afrika pekee.

Labda utakuwa na chuki na viongozi wa Afrika tu.

Kama hakuna hali duni katika jamii unataka uongozi ukaboreshe hali zakina bwenyenye?
 
Ndugu yangu haya mambo ya maendeleo inategemea unatumia vigezo gani. Mimi pia niliwahi kwenda Afrika kusini ya Mandela mwaka 1995, 1996 na 1997 kwenye mikutano siku moja nikisafiri kwa treni nilishangaa na kusonononeka sana kupitia dirisha la treni ilikuwa alfajiri saa 11 niliona familia moja ya kiafrika baba, mama na watoto watano ikinyeshewa na mvua kwenye nyumba yao iliyojengwa kwa maboksi na kuezekwa na katarasi ya plastiki bahati mbaya kulikuwa na baridi kweli nilitamani kulia. Nitakuja kukueleza mengi niliyoyashuhudia nchi ya Mandela huyo unayemsifia.
Hata USA kuna homeless kibao tuongelee kwa mtazamo wa jumla.wenzetu wako mbali
 
Kama lema yupo sahihi kwanini alimpiga vita jpm aliye kuwa analeta hayo maendeleo kwa ujenzi wa kila kitu ....umesema mwenyewe kuwa Mandela alilia sasa jiulize alililia nini ? Kama ni umasikini basi akina lema ndiyo wahuni maana wao walishangilia kifo cha mtu aliye kuwa anapambana na umasikini kwa vitendo , wao wakampinga na kumlaani usiku na mchana kwa kuwa alifufua mashirika na kujenga nchi kila kona
My last paragraph
nimeelezea kuwa maendeleo yaje bila kuuana au kutekana,unawajengea watu sasa ukiwaua nani atavitumia
 
Ndugu yangu haya mambo ya maendeleo inategemea unatumia vigezo gani. Mimi pia niliwahi kwenda Afrika kusini ya Mandela mwaka 1995, 1996 na 1997 kwenye mikutano siku moja nikisafiri kwa treni nilishangaa na kusonononeka sana kupitia dirisha la treni ilikuwa alfajiri saa 11 niliona familia moja ya kiafrika baba, mama na watoto watano ikinyeshewa na mvua kwenye nyumba yao iliyojengwa kwa maboksi na kuezekwa na katarasi ya plastiki bahati mbaya kulikuwa na baridi kweli nilitamani kulia. Nitakuja kukueleza mengi niliyoyashuhudia nchi ya Mandela huyo unayemsifia.
Kwa hiyo kwa kuiangalia familia hiyo moja iliyokuwa ikipigwa baridi nje ukahitimisha kuwa the whole SA wako nje hivyohivyo wanapigwa baridi nje??

Ungemfanya vizuri na kueleweka kama ungejenga hoja yako ya kum - challenge mleta hoja kwa wewe sasa kutaja na kuchambua vigezo vya maendeleo na kuvi - relate na ulichoona huko SA vs Tanzania..

Baada ya hapo ulinganishe maendeleo ya TZ na SA Kisha utoe conclusion yako. Unfortunately, hujafanya hivyo..!

Lakini all in all na bila kumung'unya maneno kabisa, kiwango cha maendeleo ya Tanzania kwa miaka 63 ya uhuru viko chini sana na hatukupaswa kuwa hapa tulipo bali tulipaswa tuwe level moja na nchi kama Singapore, Malaysia nk..

Na tatizo kubwa na ambalo ndilo kikwazo cha Tanzania kupiga hatua za haraka za kimaendeleo kijamii na kiuchumi ni ukosefu wa SIASA SAFI na UONGOZI BORA.. toka Chama Cha Mapinduzi - CCM ambao ndio wao tu tangu wakati huo wanatoa uongozi wa nchi hii..

Solution ni sisi wana wa nchi hii kubadili mindset zetu na kuachana na mfumo huu wa utawala usiobadilika wala kubadilisha chochote tangu uhuru mwaka 1961..

Ifike time tuseme kwamba, TUNAKATAA ULOZI WA CCM ambao umewaloga watanzania wote na kuwa kama mazezeta...
 
nimecheka sana
sasa ulitoka USA kwa ufukuzwa ama maana ulipo fika tz unaonesha ulikuwa umepigika

nimecheka ulipo sema uikosa panadol, ulikosa vp hukuwa na hela ya kununua, ulikuwa na hela ila madukani hazipo ama ulitaka upewe bure.

kuna shida kubwa kichwani kwako, yaani unakaa 10yrs alafu unarudi huna hela na akili kama za rema ulienda fanya nini USA mkuu

hela huna, akili za rema
 
Unapayuka kama umeingiziwa ukuni kiume
This statement justifies how stupid and foolish you are..!!

Jenga hoja.

Sio tu kwa sababu wewe ulishawahi kuingiziwa ukuni mkunduni mwako unadhani na wenzako ni hivyo hivyo huingiziwa kama wewe..!!

Mjinga sana wewe...
 
This statement justifies how stupid and foolish you are..!!

Jenga hoja.

Sio tu kwa sababu wewe ulishawahi kuingiziwa ukuni mkunduni mwako unadhani na wenzako ni hivyo hivyo huingiziwa kama wewe..!!

Mjinga sana wewe...
Huna lolote wew bwege na huyo punguani mwenzio
Screenshot_20230305-161414.jpg
 
nimecheka sana
sasa ulitoka USA kwa ufukuzwa ama maana ulipo fika tz unaonesha ulikuwa umepigika

nimecheka ulipo sema uikosa panadol, ulikosa vp hukuwa na hela ya kununua, ulikuwa na hela ila madukani hazipo ama ulitaka upewe bure.

kuna shida kubwa kichwani kwako, yaani unakaa 10yrs alafu unarudi huna hela na akili kama za rema ulienda fanya nini USA mkuu

hela huna, akili za rema
Usicheke mkuu ni matatizo tu yadunia kuna uzi wangu humu jf nilielezea nilivyorudishwa kwa PI baada ya kumpiga mke mzungu
 
Mleta mada nadhani alipotoka huko USA alifkia nyumbani kwao..aliyoyaacha na kuyakuta nadhani aligundua kwamba familia yao ina laana sio watanzania wote.
Familia yetu nashukuru Mungu ni moja ya familia za kipato cha kati mimi najaribu kuongelea maisha ya watanzania wengi
 
My last paragraph
nimeelezea kuwa maendeleo yaje bila kuuana au kutekana,unawajengea watu sasa ukiwaua nani atavitumia
Tumia akili we bodaboda wewe unadhani watu wanaua kwa kupenda ila inapo paswa mtu kufa kwa haki ni lazima auliwe ...kasome hata torati kuna amri ya mungu inasema usiue ....sasa swali mbona Mtume musa aliendelea kuua watu hata baada ya hiyo amri ....tena ukisoma tunaona musa kawatuma watu kupeleleza nchi watakayo ivamia na kuua watu ila wale wapelelezi wakaogopa vita wakakataa kwenda kuwaua watu wa ile nchi Mungu akakasirika na kuwa acha jangwani kwa miaka 40 ....je amri ya usiue unajua maana yake ni nini ? Je daudi alipokuwa anaua watu alikuwa aijui hiyo amri daudi aliuwa makumi elfu hadi nyimbo alitungiwa basi tuambiw nini maana ya hiyo amri kama unayo akili .....mtu yoyote anaye haramisha hukumu ya kifo kwa kila hali huyo moja kwa moja ni dhalimu
 
Tumia akili we bodaboda wewe unadhani watu wanaua kwa kupenda ila inapo paswa mtu kufa kwa haki ni lazima auliwe ...kasome hata torati kuna amri ya mungu inasema usiue ....sasa swali mbona Mtume musa aliendelea kuua watu hata baada ya hiyo amri ....tena ukisoma tunaona musa kawatuma watu kupeleleza nchi watakayo ivamia na kuua watu ila wale wapelelezi wakaogopa vita wakakataa kwenda kuwaua watu wa ile nchi Mungu akakasirika na kuwa acha jangwani kwa miaka 40 ....je amri ya usiue unajua maana yake ni nini ? Je daudi alipokuwa anaua watu alikuwa aijui hiyo amri daudi aliuwa makumi elfu hadi nyimbo alitungiwa basi tuambiw nini maana ya hiyo amri kama unayo akili .....mtu yoyote anaye haramisha hukumu ya kifo kwa kila hali huyo moja kwa moja ni dhalimu
Nyie ndio mkikaa vijiweni mnasema magufuli wamemuua
Haya torati inasema ukiua kwa upangautakufa kwa upanga.
Uuaji waje mauti yake,si ajabu angekuwa hai mpaka leo ila ukiwa nuuaji utauliwa tu
Tumia akili.
Mimi sio badaboda mimi ni mkulima tuheshimiane
 
Ni kweli home ni home tuu, lakini kumwelewa mleta uzi lazima uwe umeishi nchi za maana kama US tena kwa muda mrefu, bongo mna njaa na wengi ni wapumbavu kupindukia, wengi mwanzoni tulikuwa na ndoto za kufanya mambo ya maana lakini ilibidi tukubali matokeo na bongo iwe sehemu ya vacation tuu, sikuamini macho yangu wabongo badala ya kupanga foleni kupanda daladala wanapigania kuingia kupitia madirishani, huo kama sio wehu ni nini?
Wanagombea seat kama nyani nchi imekosa ustaarabu kabisa
 
Nyie ndio mkikaa vijiweni mnasema magufuli wamemuua
Haya torati inasema ukiua kwa upangautakufa kwa upanga.
Uuaji waje mauti yake,si ajabu angekuwa hai mpaka leo ila ukiwa nuuaji utauliwa tu
Tumia akili.
Mimi sio badaboda mimi ni mkulima tuheshimiane
Mdukuzi utapata tabu sana kufanya hawa watu wakuelewe; kwa sababu hawajui hali halisi. Wale wanaojua hali halisi wamekaa kimya. Kwa "mindset" hii kumfanya mtu aelewe ni kazi kubwa, itatakiwa kizazi na kizazi. Elimu pekee haitoshi maana hawana exposure. Msomi mmoja kule Japan nilimuuliza safari yake ilikuwaje alipotembelea Africa, kitu alichonijibu ni hivi, nimeona tofauti kubwa kati ya Africa na Ulaya (Librevile Gabon na Paris France); Ni tofauti kati ya Hell na Heaven; ingawa sikupenda jibu, lakini ukweli ndiyo huo. Wewe Mdukuzi wote wanaokubishia hapa wanaumia na ukweli wako badala ya kukubali hali ilivyo (real situation); ni kweli.

Ukikubali mapungufu yako nis rahisi kubadirika
 
Huyo mzee wako ni MWONGO alikudanganya tu kwa kuwa hata Johannesburg kuna slums kwenye Vitongoji vya Alexandra, Tembisa, Diepsloot. Hapo ni Alenandra njia yabkutoka Kempton Park kwenda Sandton, sasa wapi bora kati ya hapo na hii Buguruni yetu?View attachment 2537050
Tofauti ni kubwa ni hii:
Dar Es Salaam - ni 80 to 90% Slums (informal and unplanned settlements)
Joh'burg - 10% Slums - wavamizi wa planned settlements

Dar kwa taarifa yako hata sewerage yake ipo ile ya mkoloni hadi leo; baada ya Uhuru haipo kabisa; jiulize uchafu wote wa Dar unaenda wapi??
 
Mdukuzi utapata tabu sana kufanya hawa watu wakuelewe; kwa sababu hawajui hali halisi. Wale wanaojua hali halisi wamekaa kimya. Kwa "mindset" hii kumfanya mtu aelewe ni kazi kubwa, itatakiwa kizazi na kizazi. Elimu pekee haitoshi maana hawana exposure. Msomi mmoja kule Japan nilimuuliza safari yake ilikuwaje alipotembelea Africa, kitu alichonijibu ni hivi, nimeona tofauti kubwa kati ya Africa na Ulaya (Librevile Gabon na Paris France); Ni tofauti kati ya Hell na Heaven; ingawa sikupenda jibu, lakini ukweli ndiyo huo. Wewe Mdukuzi wote wanaokubishia hapa wanaumia na ukweli wako badala ya kukubali hali ilivyo (real situation); ni kweli.

Ukikubali mapungufu yako nis rahisi kubadirika
Kabisa mkuu na ndio turufu ya viongozi wetu kututawala hapo tumeridhika na umasikini wetu na tunajivunia kuitwa wanyonge,tukubali tuko nyuma sana ,resources za kututoa hapa zipo,poor management and administration ,poor mindset etc ndio tatizo letu
 
Back
Top Bottom