Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Tofauti ni kubwa ni hii:
Dar Es Salaam - ni 80 to 90% Slums (informal and unplanned settlements)
Joh'burg - 10% Slums - wavamizi wa planned settlements

Dar kwa taarifa yako hata sewerage yake ipo ile ya mkoloni hadi leo; baada ya Uhuru haipo kabisa; jiulize uchafu wote wa Dar unaenda wapi??
Tuna matatizo makubwa mkuu,vijana kila mwaka wanahitimu ardhi university wangetusaidoa hilo kakini tumeishia kuona miji yetu inakuwa kila siku ikiwa unplanned,
 
Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.Akiwa kwenye gari ya wazi akiwaoungia mkono maekfu kwa maelfu WanaDares salaam waliouja kumlaki,akiwa na Winnie Mandela na Mwalimu Nyerere kwenye hilo gari aina ya Rolls Roys

Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.

Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.

Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.

Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.

Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.

Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.

Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!

Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke

ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Dakawa high school wewe ni kijana wa Kijame, Ndiva, kasembe, mrema na kalembo hahaha ile shule ilikuwa pouwa sana nakumbuka mambo ya kijungu baada ya maharage ya mzee mhina
 
Dakawa high school wewe ni kijana wa Kijame, Ndiva, kasembe, mrema na kalembo hahaha ile shule ilikuwa pouwa sana nakumbuka mambo ya kijungu baada ya maharage ya mzee mhina
Ahaaa kijame the best head master sijui yuko wapi yule mzee,ndiva mzee wa literature,kasembe geography,mzee mhina alikuwa rafiki yangu sana alinipendelea mno misosi
 
Ahaaa kijame the best head master sijui yuko wapi yule mzee,ndiva mzee wa literature,kasembe geography,mzee mhina alikuwa rafiki yangu sana alinipendelea mno misosi
wewe ni school mate mkuu ukuje pm tuzungumze bhana hahaha. kijame alikuwa na akili nyingi sana yule mzee kwa sasa hakuna ma headmaster kama wale
 
wewe ni school mate mkuu ukuje pm tuzungumze bhana hahaha. kijame alikuwa na akili nyingi sana yule mzee kwa sasa hakuna ma headmaster kama wale
Kabisaaa wewe ni mate,ulikuwepo enzi za Babu Sikare
 
huyo simkumbuki namkumbuka innocent ndo alikuwa anapenda sana USA by then nilikuwa naona kama ndoto hivi. kina regu n co
Wate hao nawajua inno hakuwahi kukanyaga USA yuko NSSF.mudy white,mnyangara,tuombye hao wapo USA,babu sikare alimaliza 1999 nadhani ulikuwa hujaingia
 
Wate hao nawajua inno hakuwahi kukanyaga USA yuko NSSF.mudy white,mnyangara,tuombye hao wapo USA,babu sikare alimaliza 1999 nadhani ulikuwa hujaingia
nilikuwa bado aisee mudy white namjua ungekuja pm ungenisaidia sana kuhusu hizo issue za USA mate
 
Tofauti ni kubwa ni hii:
Dar Es Salaam - ni 80 to 90% Slums (informal and unplanned settlements)
Joh'burg - 10% Slums - wavamizi wa planned settlements

Dar kwa taarifa yako hata sewerage yake ipo ile ya mkoloni hadi leo; baada ya Uhuru haipo kabisa; jiulize uchafu wote wa Dar unaenda wapi??
Simama kwenye point yangu. Hoja yangu ni kwamba hata majiji makubwa ya dunia yana poor neighborhoods. Hata strong economies zina homeless and street beggars.

Anachoongea Godbless Lema ni USHAMBA tu kwa kuwa ndiyo mara ya kwanza kakanyaga Developed world. Sisi wengine tumeona mengi zaidi ya Canada
 
Huna lolote wew bwege na huyo punguani mwenzioView attachment 2538406
Mr ChoiceVariable, kama hujui kitu ni vyema kuuliza ili ujazwe maarifa..!

1. Unaelewa maana ya neno "delivery man/boy/girl/woman?" kweli wewe?

2. Nini tofauti ya delivery man/boy/woman & bodaboda..?

Ngoja nikusaidie facts zifuatazo ili akili yako ifunguke;

FACT #1: Pikipiki nyingi zinatengenezwa China, Vietnam, Japan, Singapore na kwingineko..

===Kote huko huwezi kukuta zinatumika kama usafiri rasmi maarufu kama bodaboda kusafirisha abiria. Unadhani ni Kwa sababu Gani huku wao wenyewe wakiwa ni watengenezaji wa hizo pikipiki?

FACT #2:
Nchi zote zote za Ulaya na USA, Canada na kwingine hakuna bodaboda zilizojasiliwa rasmi kama vyombo vya kusafirisha abiria kama ilivyo Tanzania..!! Au bado unabisha tu?

===Ukisikia mtu anaitwa delivery man/boy/woman/girl, maana yake huyo ni mtu aliyeajiriwa na kampuni fulani na kupewa Pikipiki Kwa ajili ya ku - deliver huduma kwa wateja wa kampuni au shirika hilo mainly huwa ni hotels na kampuni za kusafirisha parcels...

===Kwa hiyo yeye huyo mtu anakuwa ni mwajiriwa na Pikipiki ni chombo chake cha kumrahisishia kuwahi kazini na kupeleka mizigo ya watu..!!

FACT #3
: Kwa nchi za dunia ya tatu Tanzania ikiwemo, pikipiki maarufu kama "bodaboda" ni vyombo rasmi vya kusafirisha abiria vinavyotambuliwa na serikali. ..

Na vijana wengi wamejikuta (si Kwa kupenda bali Kwa kulazimishwa na mazingira ya ukosefu wa ajira) wakiwa bodaboda mijini na vijijini..

===Usidanganye watu hapa hakuna anayependa kufanya kazi yenye risk kubwa kiafya na kiuhai kama hii. Mazingira yaliyotengenezwa na serikali (watawala) yanalazimisha watu hususani vijana waifanye tu ili mradi wapate mkate wa siku..

===Ni jukumu la serikali kutengeneza mazingira ya watu kuwa na decent employment opportunities. Viongozi wa serikali wanaotetea hii kitu ni Kwa sababu wanajaribu kuficha failure ya
sera na mipango na mikakati ya CCM na serikali yao kuwatoa watu kwenye dimbwi umaskini..

===Uwepo wa bodaboda ni ishara mojawapo ya umaskini uliokithiri (absolute poverty)


NDIYO MAANA YA KELELE HIZI TOKA KWA VIONGOZI WA CCM na SERIKALI YAO KUNG'AKA baada ya kauli ya Godbless Lema maana ni kauli hii ni kali na ya kuchochea hasira za vijana mara wanapopata UFAHAMU na UELEWA wa chanzo cha umaskini na taabu zao kuwa ni CCM na serikali yao..
 
Simama kwenye point yangu. Hoja yangu ni kwamba hata majiji makubwa ya dunia yana poor neighborhoods. Hata strong economies zina homeless and street beggars.

Anachoongea Godbless Lema ni USHAMBA tu kwa kuwa ndiyo mara ya kwanza kakanyaga Developed world. Sisi wengine tumeona mengi zaidi ya Canada
Homeless wa canada wanalipwa kila mwezi je homeless wa Tz wanalipwa?
 
Homeless wa canada wanalipwa kila mwezi je homeless wa Tz wanalipwa?
Kumbe mnalilia kulishwa bure?? Nenda na wewe mfuate Lema, ila ukiombwa tako usije kulalamika hapa. Bure ghali
 
Mr ChoiceVariable, kama hujui kitu ni vyema kuuliza ili ujazwe maarifa..!

1. Unaelewa maana ya neno "delivery man/boy/girl/woman?" kweli wewe?

2. Nini tofauti ya delivery man/boy/woman & bodaboda..?

Ngoja nikusaidie facts zifuatazo ili akili yako ifunguke;

FACT #1: Pikipiki nyingi zinatengenezwa China, Vietnam, Japan, Singapore na kwingineko..

===Kote huko huwezi kukuta zinatumika kama usafiri rasmi maarufu kama bodaboda kusafirisha abiria. Unadhani ni Kwa sababu Gani huku wao wenyewe wakiwa ni watengenezaji wa hizo pikipiki?

FACT #2:
Nchi zote zote za Ulaya na USA, Canada na kwingine hakuna bodaboda zilizojasiliwa rasmi kama vyombo vya kusafirisha abiria kama ilivyo Tanzania..!! Au bado unabisha tu?

===Ukisikia mtu anaitwa delivery man/boy/woman/girl, maana yake huyo ni mtu aliyeajiriwa na kampuni fulani na kupewa Pikipiki Kwa ajili ya ku - deliver huduma kwa wateja wa kampuni au shirika hilo mainly huwa ni hotels na kampuni za kusafirisha parcels...

===Kwa hiyo yeye huyo mtu anakuwa ni mwajiriwa na Pikipiki ni chombo chake cha kumrahisishia kuwahi kazini na kupeleka mizigo ya watu..!!

FACT #3
: Kwa nchi za dunia ya tatu Tanzania ikiwemo, pikipiki maarufu kama "bodaboda" ni vyombo rasmi vya kusafirisha abiria vinavyotambuliwa na serikali. ..

Na vijana wengi wamejikuta (si Kwa kupenda bali Kwa kulazimishwa na mazingira ya ukosefu wa ajira) wakiwa bodaboda mijini na vijijini..

===Usidanganye watu hapa hakuna anayependa kufanya kazi yenye risk kubwa kiafya na kiuhai kama hii. Mazingira yaliyotengenezwa na serikali (watawala) yanalazimisha watu hususani vijana waifanye tu ili mradi wapate mkate wa siku..

===Ni jukumu la serikali kutengeneza mazingira ya watu kuwa na decent employment opportunities. Viongozi wa serikali wanaotetea hii kitu ni Kwa sababu wanajaribu kuficha failure ya
sera na mipango na mikakati ya CCM na serikali yao kuwatoa watu kwenye dimbwi umaskini..

===Uwepo wa bodaboda ni ishara mojawapo ya umaskini uliokithiri (absolute poverty)


NDIYO MAANA YA KELELE HIZI TOKA KWA VIONGOZI WA CCM na SERIKALI YAO KUNG'AKA baada ya kauli ya Godbless Lema maana ni kauli hii ni kali na ya kuchochea hasira za vijana mara wanapopata UFAHAMU na UELEWA wa chanzo cha umaskini na taabu zao kuwa ni CCM na serikali yao..
Asipokuelewa ana laana
 
Back
Top Bottom