Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Mwaadeela gawizaa bhaa Ngoshaa iiiggghhh, ulihooo..!!??? aahahahahahaaa

Basi ilikuwa one month stand aahahahahhaahahhaa maana baada ya tukio kuisha kila mtu akaendelea na ustaarabu wake, hakuna kuulizana wala kujuliana hali wala kutafutana eehehehehehee

Matata K.
Standi[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Na wanakusomaa eeheheheee utaona baada ya muda watakuja hapa aahahahhaaa

Jiandae kwa upinzani uliotukuka. Ukimaliza kunifumua nywele utanimasaji na kunitekenyatekenya kichwani hadi nisinzie... Aahahahahhaa nnavopenda raha mie....
Nimejiandaa Princess wangu......💪

Hapa nina dumu la asali lita 20 kutoka Tabora kwa ajili yako mrembo, nitakufanyia massage ya ulimi kutoka kichwani hadi kwenye unyayo. Jiandae kujinyonga nyonga kama nyoka kwa utamu wa massage 😋😋😍😍
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.

You’re right ila uache ngono maana you have sense of wife material and God fearing. So turn to your Lord acha ngono
 
You’re right ila uache ngono maana you have sense of wife material and God fearing. So turn to your Lord acha ngono
Kwamba akiwa wife material na God fearing ndiyo hatakiwi kut**#*ana?

Sometimes it's must to have dirty experiences. Hii huongeza afya ya akili na mbinu za kuzidi kutafuta hela
 
Gharama kubwa inategemea na kipato chako cha muda huo..let say wewe unatengeneza 10m/month ukitumia 500k utaona ni kidogo tu..

Mimi nakumbuka nilitumia 35k ambayo ilibidi nilipie tuition ili nisome Advanced Organic Chemistry+Wave(watu wa PCB hapa mmenipata)..nikakapanga kademu kangu kakaja lodge,nikapiga..baadae nikakanunulia chipsi kuku na vinywaji,then kakarudi kwao Kiboroloni..nilijuta sana baadae

Nilikuja kusoma lakini kwa kuibia pale tuition
 
sijawahi kwenda guest wala hotelini kugonga demu , geto lipo la bro ndo lakufanyia mauajia au home kabisa kama hukuna watu mida ya mchana hiyo....
Actually demu wangu huwa nampoza kwa 20k kwa ajili ya usafiri na kaz nzur anayonipa maana anajua mambo mpaka sio poa yaani na mambo mengine ya kwake binafsi. Na ukiona demu haridhiki na kiwango unachompa Jua kabisa kuna sehemu anapewa zaidi ya hapo so vijana muwe makini... uzur demu wangu huwa muelewea pesa kwake anaona kawaida cha msingi tu huwa ananisihi nimkune vizuri nisimuache juu juu!!
Yaani demu wako huwa unampoza na 20 k kila unapomgegeda? Uyo ni mfanyabiashara mwenzio uyo.
 
Ulikuwa na akili za kitoto sana, aliyekuambia kwenda hotel kali ndo na mechi inakuwa kali ni nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pia show kali haina cha huyu demu bado bikra au huyu demu kashakuwa bwawa, mwanaume ukiwa fundi unapenya popote na mechi inakuwa kali balaa, wewe kiwango kidogo sana dogo, kazana angalau utoke ndondo cup uende ligi daraja la 2.

Unforgetable

Hujakutana na bikra wewe
 
Nimewahi kutumia laki 3,

Nakumbuka siku hyo tulipanga na demu tukale bata,ila akachagua sehemu tutakayo enda,akanambia atatangulia ili nimkute huko,Mimi nikaandaa laki coz nilijua tutakuwa wawili,Eee bwanaee ile nafika tu nikakuta yuko na best zake wanne,nilitamani kukimbia sema ndo hivo walikuwa washaniona,Ikabidi niende hvo hvo ila kiunyonge,

Nilivo fika kwenye meza nikahisi kichwa kupata moto,savanna ziko sita pale mezani,Ikabidi me niagize nyama tu,sasa kadri time ilivyo kuwa inaenda wakawa wana agiza vinywaji mpaka ambavyo sijawahi ona,cha ajabu mademu wako normal ile mbaya,nililetewa bill mida ya saa6 ikawa inasoma 340000,Ikabidi nikadroo tu ila hamu na yule demu ilikuwa ishapotea cz sikufikiria atakuwa wa aina ile.

Sikuwa na hamu tena ya kuchukua room ilibidi twende parking tu nikawapakiza kwenye gari mana cku hiyo ilibidi niazime na ndinga ili kujimwambafai,ile nimewafikisha hom wakat narud hom nikawa nawaza hela yangu tu,yan nilipatwa na hasira mpaka nikawa Nahisi roho yangu inakata mana katika life Langu sikuwahi kupoteza Hata 50k kwa manzi,

Wahenga bwana hawakukosea kusema jasho la mtu halipotei bure,kesho yake wale mademu wakaanza shobo za text kila muda,nikasema hawa wote lazima walipe jasho Langu,Hao mademu nimewachapa ndani ya mwaka mzima huku hawajuani,Wame kuja kujuana ndo nakaribia kwenda chuo kuendeleza maujuzi,walitukana mpaka basi nikawa siwajibu tena,ila saivi kuna wawili tena kati yao naona wanarudisha shobo tena.
Acha ufala eti mwaka mzima huku hawajuani. Kwani walivyokuwa wanakuchuna si walikuja pamoja
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.
Nafasi bado ipo?
 
Ee ila nani atasema ukweli eti nililiwa kwa bei hii hakuna kwa mtu anayejitambua ananyamaza tuli
 
Hivi mwanaume anaanzaje kupiga gharama za matumizi kwa mwanamke wake?
Kwani huwa wanagharamikia ngono au ni ile to show some love and affection. P
Ndio maana nimeona aibu mimi🙆🙆🙆
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.
Ni kweli ila shida iko hivi hao ni wanadamu so akikupa pokea tu maana hata mkikosana haachi kukuita malaya so ni bora upokee tu hakuna anayependaga after sex uchukue mkwanja hakunaga hata wanaojiuza ila ukiwaza mbali umetumika na umepoteza muda wako na ukikataa nani atakuja pewa ??
Unajua hapa ni duniani binadamu always ni binadamu so wengi wamekuwa wanachukua chao mapema.
Wanaenda upokee au usipokee at the end of the day wewe ni MALAYA why ulimvulia mtu ambaye sio mumeo.
Na wakikorofishana na wewe wànaanza hivi wewe ni malaya we malaya achana na maisha yangu.
 
Hivi mwanaume anaanzaje kupiga gharama za matumizi kwa mwanamke wake?
Kwani huwa wanagharamikia ngono au ni ile to show some love and affection. P
Mwanaume gani tz hii anayegharamikia love & affection? Hawapo tena.

Ishu za ufilipino na kikorea ni kule kwao tu.

Mapenzi ya tz kila mtu anamtazama mwenzake kwa jicho la fursa zaidi. Fursa ikipatikana, kila mtu njia yake!
 
Back
Top Bottom