Ndo Mlicho kiacha hicho.. Huyo Diamond kwa kijana ambae ameanza mziki 2008 mbona naona anafanya Vizuri zaid ya Ali Kiba.?Diamond atasubiri Sana
Seriously..? Kiba ana miaka 11 kweny mziki.? [emoji23] [emoji23] cha ajabu amezidiw Tuzo na Mtoto mwenye miaka 7 cjui kwnye mziki.? Takwimu zinasema eti Diamond ana Tuzo zaid ya 187 [emoji124] [emoji124]Hongera King Ali Saleh Kiba.
Tokea nimeanza kuwa shabiki wako takribani mwaka wa 11 huu hakuna wimbo uliowahi kuutoa ukanibamba sawasawa na video yake kama Aje.
Aje ni wimbo mkubwa sana, nasikitika ulitoka wakati ambao nilipata msiba wa mamangu mkubwa ndio maana nilishindwa kuufungulia thread.
Haikufaa kabisa kwa wimbo mkubwa kama Aje kwa mimi shabiki wako wa kutupwa nikae kimya kama sio msiba ule [emoji24] [emoji17].
Mwaka wa 2016 ulikuwa mwaka wa [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG]
Period
Safariiii ndefu ya kichaaa mwisho hurudi na makopo,,,,age juxt a numberSeriously..? Kiba ana miaka 11 kweny mziki.? [emoji23] [emoji23] cha ajabu amezidiw Tuzo na Mtoto mwenye miaka 7 cjui kwnye mziki.? Takwimu zinasema eti Diamond ana Tuzo zaid ya 187 [emoji124] [emoji124]
Hehehee Hizi Tuzo kubwa kwa wana Kiba waache wajipe moyo [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] tuzo kubwa nigeria kwa kipi unazijua tuzo kubwa nigeria tuzo ni za kituo cha tv cha soundcity na zimenza kutolewa mwaka huu sasa cjui kuanzia lini zimeanza kuwa kubwa
Tuzo kubwa inategemea na Muda manufaa yake malipo mahudhurio na mauzo Concert tickets.. Sas hizi Tuzo zao ni sawa na kusema EATV awards ni Tuzo kubwa Tz wakat kuna watu wanaitwa KILIHivyo kigezo cha ukubwa WA tuzo ni duration ya tangu zianzishwe????kwani mtvema zilikuwepo bila kuanzishwa????
K*** la bibi yako kwa jinsi unavyoonekana utakuwa teja kabisa ka huko huko mchikichini**** la mama ako nani anakaa mchikichini au unataka kujuana
Wanakuja TIMU TUSIONAJEMA!Big up to Kiba
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuhusu show ya Dodoma tulifeli na sababu zilitolewa,,wonderful enough haihusiani na hii tuzo ya sound city ,,ila naelewa nia ya kulizungumzia hapa ,ili tuu kuvuruga furaha ya mashabiki WA alikiba!!kinachonifurahisha zaidi tumekushtukia!!
Basi,usiwe shida,anzisha Uzi kuhusiana na show ya dodoma ,,Ama omba Uzi wako utakaonzisha uunganishwe na zilizopo tayari(mana kuna nyuzi kuhusu kubuma kwa show ya Dodoma)!!
Then Agree to Disagree that Diamond came to motivate most of Tanzanian Artists.. From payments to Video making, Luckily he is only Tanzanian Does show worldwide and saying Age is just a number in Music industry is like playing a lot of games in EPL & not be able to Conquer even a single trophy till immature guy came & show You how to do it.. Thats confirm that age is just stupidity if u can't do something about it [emoji23] [emoji23] .. He supposed to be a Legend nw & not to be compared wit anyone bt looook at that brother nw [emoji1]Safariiii ndefu ya kichaaa mwisho hurudi na makopo,,,,age juxt a number
We bwabwa tu kama domo wanaume gani mnavaa hereni nnatoboa pua mnavaa cheni miguuni mnasuka nywele? Watoto sio rizkiBado wewe tutakuoa tu!!
We bwabwa tu kama domo wanaume gani mnavaa hereni nnatoboa pua mnavaa cheni miguuni mnasuka nywele? Watoto sio rizki
Sasa ni wakati wangu wa kutumia advantage ya kuwa bae kuwafurahisha Team Kiba wenzangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa ni wakati wangu wa kutumia advantage ya kuwa bae kuwafurahisha Team Kiba wenzangu.
Kama mimi ulivyonishika hadi team Madale wanasherehekea nami natumia 'powers' kupeleka sherehe k/koo.
Tuache tusherehekee tuzo yetu pls,hatuhitaji chochote zaidi ya pongezi.
[emoji6] [emoji6] [emoji4] [emoji4] [emoji123]