Kiba anaenda kuzimika kama mshumaa katikati ya pepo kali

Kiba yupo safi kabisa haumizi mtu, ila mashabiki ndio wanajiumiza kwa kutaka kiba awe kama Diamond kitu ambacho ni IMPOSIBLE ni sawa na kupaka rangi ya gold jiwe na kutaka liwe GOLD OG

K 4 REAL baba lao bongo
 
Kiba ni sawa na mtu aliyelala fofofo, kaja kamuamshwa na yey anaforce kuamka wakat bado ana mang'amung'amu ya usingizi. Mi namshauri aendelee tu kulala usingiz utakapoisha ataamka mwenyew!
 

K 4 REAL kidume chao
 
Ally kiba alishapotea zamani... upepo wa diamond ukamrudisha huohuo upepo utamrudisha alipotoka..

Wambie baba wambie,tell them ntumie namba yako nkugiftishe
 
Kiba ni sawa na mtu aliyelala fofofo, kaja kamuamshwa na yey anaforce kuamka wakat bado ana mang'amung'amu ya usingizi. Mi namshauri aendelee tu kulala usingiz utakapoisha ataamka mwenyew!

Nitumie namba yako nikugiftishe mkuu, umemaliza
 
Kiba ni sawa na mtu aliyelala fofofo, kaja kamuamshwa na yey anaforce kuamka wakat bado ana mang'amung'amu ya usingizi. Mi namshauri aendelee tu kulala usingiz utakapoisha ataamka mwenyew!

dogo umetumwa au umejituma?
 

Shida inaanza pale mtu anapojifanananisha na mwengiene kiuwezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…