Kiba banaa..!!

Kila kitu cha kiba mnabeza... Ishara za kuishiwa hoja na uwoga msanii gani mkubwa bongo hii hakuwahi kuchukua KTMA ?..afu usintoe nje ya mada nijibu kiba wakati zile tuzo zinatolewa alikuwa wapi?
We fala kwel ata uelewi naongea nn umesoma comment yang vzur? asa kiba kukimbia tuzo kunausianaje
 
We fala kwel ata uelewi naongea nn umesoma comment yang vzur? asa kiba kukimbia tuzo kunausianaje
Umeshobokea dundo bwege wee kuna nyau mwenzako aliandika ushuz kwamba kiba hagong show mbele ndo nikamuuliza wakat Wa KTMA kiba tuzo zote alipokelewa je anajua kiba alikuwa wapi???...ulipotokea sijui wapi ndugu yangu hujui lolote unaropoka ropoka tu nyau
 
We fala kwel ata uelewi naongea nn umesoma comment yang vzur? asa kiba kukimbia tuzo kunausianaje
Kwanza ni ww mwenyewe ndo uloandika hayo mavi ***** afu unakunyakunya hapa kalio ww jibu swali kiba alikuwa wap had akashindwa kuhudhuria zile tuzo?
 
We fala kwel ata uelewi naongea nn umesoma comment yang vzur? asa kiba kukimbia tuzo kunausianaje
Na hapo umebeza eti tuzo za empowerment mbna jamaa yenu alichukua saba wakat yupo na Wema hamsemi?...acha hizo kiaz kitamu ww unaliwa hata bila kupikwa..
 
Jaribu kuwa unaelewa kwanza ndo una reply yaani ulivojibu na yy alivyoandika ni vitu viwili tofaut.....nahisi ulikimbiaga shule ww kaka maana duuh niishie apo...!!
Umekurupuka bro wanaume wakiwa wanaongea unatulia kidogo sawa bi mzuri?
 
Mgongwe eeh??...trace hadi belle anapigwa so?...
 
Post imekaa kinazi afu unajikosha we kiazi kweli..
 
Post imekaa kinazi afu unajikosha we kiazi kweli..
Tatizo unafikiri kila mtu Ni mtoto mwenzio! Sasa unazi uko wapi hapo?

Ni uongo Kiba hakuanza kufahamika Ktk medani ya Mziki Kabla ya Diamond?

Ni Uongo Diamond anafanya vizuri kwa Sasa kuliko Alikiba?

Ni uongo Mziki unamlipa Diamond vizuri zaidi kuliko Alikiba?

Ni uongo Alikiba Anashindana Na Diamond Wakati Diamond anashindana Na mafanikio Yake?

Ni uongo AY alimtoa Diamond sehemu flan Na kumpeleka sehemu flani?

Ni uongo Alikiba Hana kiburi Na kujisikia?

Wewe endelea Na u playboy wako hivyo hivyo! Utamaliza mabucha yote nyama Ndio ile ile.
 
Post imekaa kinazi afu unajikosha we kiazi kweli..
Kwanza wewe nikikutikisa Hivi Hakuna unachojua kwenye Mziki. Usikute Ni mtoto wa Juzi Juzi tu! Kwanza sijui kwanini nimekujibu.! Nyinyi watoto mliozaliwa kipindi hiki cha Jakaya mnamatatizo sana!
 
Chizi ww una uhakika dimond hashindani na kiba ?..acha unyau paka jike ww siku île istagram anasema "sijui nininini mwisho anamaliza wakipost tembo sisi tunapost show"..alikuwa anamwambia mamako mdogo aw?..kiba mnasema hamuwez diamond sasa si mumlinganishe diamond wenu na jux bas mbna kila siku mpo hapohapo.. Diamond aliwah kupost juu ya kiba kukopa pesa kwa ajili ya kumalizia nyumba yake... Anashindana hadi nje ya muziki sijui hujui unakuja unajambajamba hapa we puru kweli mshkaj wng.
 
Kwanza wewe nikikutikisa Hivi Hakuna unachojua kwenye Mziki. Usikute Ni mtoto wa Juzi Juzi tu! Kwanza sijui kwanini nimekujibu.! Nyinyi watoto mliozaliwa kipindi hiki cha Jakaya mnamatatizo sana!
Uliza unachojua kuhusu muziki malaka ww me siyo mwenzio pumbav
 
Punguza Munkali, Huku Ni home of Great Thinkers, ma'GT hawabishani kwa hoja Zenye matusi,

Pia jifunze kutofautisha JF Na group Lako la shule.

By the way tufanye Hivi; Alikiba yuko juu kuliko Diamond.- satisfied?
 
Malaka Ndio Nini.. Hebu niambie unaelewa Nini kuhusu Full/semi tone.
Nyoko kweli swali gan unauliza... Unaniuliza kupanda na kushuka kwa sauti unaniuliza habari za nusu toni ?...hebu niambie kiwango cha mwisho kabisa cha kupanda kwa sauti ni ngapi?
 
Punguza Munkali, Huku Ni home of Great Thinkers, ma'GT hawabishani kwa hoja Zenye matusi,

Pia jifunze kutofautisha JF Na group Lako la shule.

By the way tufanye Hivi; Alikiba yuko juu kuliko Diamond.- satisfied?
We ndo great thinker ??...ambaye unasema belle hawamjui kwenye media ?..na huamini kama nyimbo yake imepigwa trace ??...duuuuh hahahahaaaa great thinker hufany utafit kabla ya kuandika hahahahaaa haya GREAT THINKEEER unafikiri kwa kutumia makalio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…