Kiba kuja na tour ya dunia nzima

Kiba kuja na tour ya dunia nzima

hana issue huyu kiba,anabebwa sana,mbona hata tarehe za hio tour hajaweka?aseme siku flan nitakua ukumbi flna n.k,sio kuweka general timetable mana hata hajui ni lini ataperforme,poor kiba
 
hana issue huyu kiba,anabebwa sana,mbona hata tarehe za hio tour hajaweka?aseme siku flan nitakua ukumbi flna n.k,sio kuweka general timetable mana hata hajui ni lini ataperforme,poor kiba
Anabebwaje sasa mbona hujaeleweka
 
Lengo La kutaja Tuzo ni nini? Kwamba watu hawamjui kwa hiyo anawalazimisha wajue kuwa alie shinda tuzo fulani ndio yeye anaye kuja? Hana Band wala Gitaaa hiyo show atapiga kwa CD au? Hamna tarehe wala veneu wanapima Witikio wa Watu au?
 
Lengo La kutaja Tuzo ni nini? Kwamba watu hawamjui kwa hiyo anawalazimisha wajue kuwa alie shinda tuzo fulani ndio yeye anaye kuja? Hana Band wala Gitaaa hiyo show atapiga kwa CD au? Hamna tarehe wala veneu wanapima Witikio wa Watu au?
kwan tatizo likowapi, kuna lililoharibika kutokana na tuzo kutajwa au
 
Ajiimarishe na kutafuta coverage kwanza lasivyo ataishia kusingizia anarogwa tu, maana bado hana coverage kubwa he is not even the best kwao kwa maana hawez kuandaa show hata ya tsh 30000 akajaza watu.
 
Ziko wapi mie nipo huku sijaona bango.
Kiba anacheza na akili za Watu,ziara iliokuwa confirmed ni hiyo ya Afrika kusini,hizo zingine ndio anazicchuuza kama machinga anavyopiga kelele kuuza suruali,ndio maana ameweka contacts ili mtu akitamani awasiliane na hao mameneja.
Tour unatengeneza ukishapata mialiko ambayo ni confirmed na deposit au malipo yote umepata.
Kiba bado sana,na hizo tour atafuta tu,atasingizia kahujumiwa,mara kanyimwa viza tupo hapa
Mimi nimeshaweka kumbukumbu sawa nasubiri muda ufike, nitawauliza tu hii tour yao imeishia wapi?
 
Leo nilikuwa naangalia marudio ya tunzo za CAF kule nigeria,Diamond na wanamuziki wote walikuwa waki perform live ,kweli Diamond pamoja na mafanikio yake makubwa kimziki live performance bado sana. Nimemwangalia Yemi Alade,Mr flava, Femi kuti na kundi moja la South Africa yaani wako vizuri ile mbaya kwenye ku perform live,yaani instruments zinapigwa live na back vocals wapo na wapiga kazi. Diamond ilikuwa kama show ya kudance.
Najua matani-mind,lakini ushauri wangu kwa Platinum wetu ule mwaliko wa kuperform kwenye award kubwa kama ile si kitu cha mchezo so maandalizi ni muhimu ili siku nyingine ukumbukwe kwenye tukio kubwa zaidi. Diamond alitakiwa kupiga live, let's say nyimbo alizoimba kwa kushirikiana na wanamuziki wengine alitakiwa kuwa amemwandaa mmoja wa wanamuziki wake kucover nafasi hizo kama alivyofanya Yemi Alade kwenye wimbo johnny. Ni ushauri tu.
Kwani ndo unajua leo mkuu? kaangalie mtv mama alivovulunda, shida yake anataka afanye yote kwa pamoja tena full time wakati hata pumzi hana, dancing awaachie kina iyobo
 
Mimi nimeshaweka kumbukumbu sawa nasubiri muda ufike, nitawauliza tu hii tour yao imeishia wapi?
Mbona Tour ya Chibu ya Wingereza sikuona iliishia wapi ila hii hautauliza hilo swali jiandae kusifia kazi mujarabu toka kwa KING
 
e504d7350b098c740dce715bf10b1a49.jpg

Povu linaruhusiwa kina sheikh kipozeo
 
Mbona Tour ya Chibu ya Wingereza sikuona iliishia wapi ila hii hautauliza hilo swali jiandae kusifia kazi mujarabu toka kwa KING
Nipo kuweka kumbukumbu kiongoz wala tusiulizane mambo ya "Wingereza" kwa kuwa huu sio uzi wa tour za "Wingereza"
 
Back
Top Bottom