[emoji23] [emoji23] [emoji23] asante
Kuna mambo mengi ya msingi zaidi ya haya mateam uchwara!!
Wote watanzania hao!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...!!Yaani, kwanza ni utoto.
Pili, ni upu.mbavu wa daraja la kwanza.
Na tatu, ujuha wa mwisho kabisa [ kama naweza kuwaweka majuha katika orodha ya nani **** kuliko mwenzake].
Safi sana Geni....umeonyesha ukomavu wa kifikra. Unanidai chupa ya Rozay.
Muulize vizuri panadol....!Niko vizuri!!
Neema za Mungu sijanyimwa!
Acha ikuume tu!ushachelewa...!!
Acha wakubwa wafaidi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mda huo sie tumezeeka wangu!!!Daaah!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leo umenilima hadharani [emoji87]
Mchana kweupeeee [emoji1]
Na mi ntakuwa mkubwa tuu sku moja!
Hahaaha alafu atakaokua nao steg moja ni akina yemi alade ...kuna mtu akaropoka eti wasanii wadogo...yemi alade msanii mdogo?? Embu wa google yemi alade net worth ...Baelezeeee
Mkuu mfano juzi kwenye fiesta man fongo alikuwa jukwaa moja na wiz kid, hivi ata jiita yko sawa na wiz kweli!!?Hahaaha alafu atakaokua nao steg moja ni akina yemi alade ...kuna mtu akaropoka eti wasanii wadogo...yemi alade msanii mdogo?? Embu wa google yemi alade net worth ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna watu wanategemea kula kupitia bifu la hawa jamaa hata humu JF wapo, sasa wataishije?
Usijali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mda huo sie tumezeeka wangu!!!
we jutia kuchelewa kuzaliwa!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo ni sawa nakusubiri meli Ubungo au treni Mkuranga....!!!Usijali
Uzuri wakubwa uwa mna achana, unaweza ukaja kuwa zari, mi nikawa domo
Ngoja nitafute hela!
[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo ni sawa nakusubiri meli Ubungo au treni Mkuranga....!!!
I dont have doubt with diamond' reputation and his success in music industry at all ila tu kauli yako uirekebishe tu kua kolabo ya ali na naseeb ni kolabo as wale ni wasanii wakubwa n kila mtu ana respect yake kitaifa na kimataifa so wameamua kuunganisha talent zao ziwe kitu kimoja lakin kolabo sio kwamba "eti " naseeb anamsaidia ali kutoka.Mkuu mfano juzi kwenye fiesta man fongo alikuwa jukwaa moja na wiz kid, hivi ata jiita yko sawa na wiz kweli!!?
Au Ryvanny alikuwa jukwa moja na wiz kid, unakumbuka AY asha wahi kuwa jukwaa moja na Akon!!?
Ali ata panda kwa hilo nampongeza ila halija muweka sawa na mwenzie ambaye hadi tuzo asha chukua
Hayo mambo yapo watu kibao washafanya, msi ya overhype
Thibitisha.Photoshop hyo achen uhuni....Ali kiba hawez Fanya huo undezi
Kauli yangu inasimama, sina doubt na mafanikio ya Kiba hata kidogoI dont have doubt with diamond' reputation and his success in music industry at all ila tu kauli yako uirekebishe tu kua kolabo ya ali na naseeb ni kolabo as wale ni wasanii wakubwa n kila mtu ana respect yake kitaifa na kimataifa so wameamua kuunganisha talent zao ziwe kitu kimoja lakin kolabo sio kwamba "eti " naseeb anamsaidia ali kutoka.
Tusitoe maoni kishabiki zaidi ila nadhani tuwe tunatoa maoni kwa facts
Shunie wee hendsam ππPicha inajieleza zaidi la kuongea sina nasubilia tu iyo ngoma ikitoka ila safiii sana vijana kama mmeamua ivyo muue mambo ya uteam
HaaaaAisee [emoji30]