Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,029
- 1,051
Hao jamaa wana roho ngumu sana 😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Silazimishi, Ila kila mtu anajua kwamba kuna Mungu, Bwana wa dunia yote, Ila anaamua kutokumwamini, kimpinga au kuamini miungu (mashetani, mazimwi, majini n.k) kwa sababu anahisi yanatoa majibu ya haraka m.f kumrushia jini mbaya wako, kumdhuru mwizi, Kinga za biashara n.kKukata tamaa kivip ? Na kwenye nini na kwanini unalazimisha kila mtu aamini uwepo wa Mungu na unataka akishaamini, aamini Mungu yupi kati ya hawa zaidi ya 1000 wanaoaminiwa na jamii tofauti humu duniani?
Thibitisha uwepo wakeSilazimishi, Ila kila mtu anajua kwamba kuna Mungu, Bwana wa dunia yote, Ila anaamua kutokumwamini, kimpinga au kuamini miungu (mashetani, mazimwi, majini n.k) kwa sababu anahisi yanatoa majibu ya haraka m.f kumrushia jini mbaya wako, kumdhuru mwizi, Kinga za biashara n.k
Lakini wote hao wanajua kuwa kuna universal God
Waliopolewa.Wanandoa waliotumbukuzwa kwenye chemba za choo wamekufa au wako hai?
Hakunanga cha mungu wala miungu.ni ujinga ujinga tu.hata dunia sio flat wa yai ni kuzidiwa ujanja tu na hawa mazayuni ya kizungu kiufupi dunia ni shapeless.Sasa Mungu analeta shari, analeta vita, halafu tunaambiwa ni Mungu mwenye upendo.
yeye mwenyewe anapata hasira, anapata huzuni, sasa huyu Mungu uwezo wake uko wapi?
Utasikia punguani anakwambia hukumu ya kifo Ifutwe 👇👇Hao jamaa wana roho ngumu sana 😢