Ila Lissu hakuacha kumsema Magufuli.
Sasa ukijakumsema wakati kafa ndio tutegemee atajirekebisha huko kaburini au ndio kupunguza hasira tu?
Kwanini wewe unayemchukia ndio usiende kufukua kabuli lake na umfanye utakacho ili upunguze makasiriko?
Hata nawe ungepotezwa tu maana unaropoka hapa ilihali haujapotezwa uko hai na huenda ukawa na roho mbaya hata zaidi ya shetani lakini unajificha tu nyuma ya keyboard [emoji34]
Wewe sio Mungu na hakuna binadamu anayejuwa hukumu ya mwezie.Je? Wewe utakuwa wapi? Baada ya kifo chako yaani unaongea as if utaishi milele
Sema Zitto anajaribu kufanya kila analoweza kumu win mama. Katika kufanya hivyo, anajikuta anatukosea Watanzania wengi tulioamini fikra na mafundisho ya JPM. Kwa hivo Zitto na toilet paper ni sawa.
Kikwete alimwaga damu ila bado anadunda. Tuondolee imani zako za ajabu ajabu.
Una uhakika Lisu alipigwa risasi kisa Magufuli?Kama ni ndio,mbona alirudi tena kwenye uchaguzi na huyo Magufuli hakumgusa?
Unataka kusema ni Lisu tu ndio alikua mkosoaji?
Miaka yote wewe ulikua ukimponda Magufuli, Ulitaka uhuru gani zaidi ya ule?Lisu sio mtu wa kwanza kupigwa risasi au kufanywa vibaya. Walikuwepo akina Mwangosi,Ulimboka, kibanda, Kubenea, Mwaikusa nk.Haya matukio kwako ni ya kawaida sana kuliko la Lisu?
Aliyemweka Mbowe mwaka jana ndani Ni malaika?
Aliyemweka Mbowe mwaka jana ndani Ni malaika?
Kweli Bavicha akili kisoda hahahahhah. Hivi kupambana na Hayati nako ni kugawana majukum?Ni wachawi na washirikina ndio huendelea kupambana na wafu.Wanasema ukifa basi kitabu chako kinafungwa, Kuendelea kupambana na Hayati ni upumbavu KIWANGO cha SGR. Na sio zito tu,hata wewe umejipa kibarua cha kupambana na Hayati, kwamba ya utawala huu we hayakuhusu sana.Kila jambo na wakati wake lkn ndugu zetu mnaopambana na Magufuli hii kanuni hamna hahahahhah. Zito,Wewe na genge la aina hiyo hamuoni ttz lolote utawala huu zaidi ya kupambana na Hayati. Kwamba huku kupambana na Hayati ndio kutafuta kura kwa wananchi na kuikosoa CCM na mwisho 2025 kutawaingiza ikulu?Chama cha SIASA na upinzani wowote dira yao ni kushika Dora, Na utaona shughuli zao nyingi huwa zinahakisi kushika Dora. Sasa wewe ndugu ukikesha kumponda Magufuli ndio mtashika Dora?Tukisema hakuna upinzani zaidi ya genge la wahuni tunakosea?
HwaWangapi walimkosoa hawakushughulikiwa na mpaka leo wapo wanakosoa. Hivi huon aibu kusemea uongo maiti isiyoweza kujibu
Kwahiyo wewe ukiona mtu katekwa basi ni Magufuli? Basi michezo ipo toka kwa Kikwete hivyo hakuna jipya.
Zito alifukuzwa kwa kuwa ni idealistic mzuri sana!! huyo ni kawaida kwa sisi watu wenye akili mingi, hata ukiwa na akili saana drsn wanafunzi wajinga wana kuchukia hiyo ni kawaida....ni suala la muhusika kujisifu tu!! na kujionaUkitaka kujua kwamba mnamchukia na si kwamba mnamkosoa hebu muone Zitto(aliyefukuzwa chadema kwa usaliti) sasa hivi hakosoi utawala uliyopo ila yeye kamshikilia maiti tu hadi anasema wanaompenda wakazikwe nae ila yeye marehemu mama yake watu walivyokuwa wanaeleza ubaya wake wa uchawi wake yeye Zitto alimwaga chozi anasikia uchungu mama yake kuambiwa ukweli kwamba alikuwa anaroga watu.
Wewe ndio unaeumia kwa kukumbuka nakuumizwa na maovu yake kwa chuki na upumbavu wako...
Kwa hiyo samia anaongoza nchi kupitia kura alizoiba Magufuli?Majibu alitoa Nabii Mwingira kabla ya Uchaguzi kanisani kwake. Alisema Lissu sio mtu wa kawaida ana nguvu isiyo ya kawaida. Wewe unadhani kupona kwa Lissu ndio ulikuwa mwisho wa Magufuli. Yani kiroho Lissu alipopona ndio Magufuli Mambo yake yaliishia pale. Ndio maana akatapatapa kuiba kura lakini wapi akafariki. Kupona kwa Lissu kulikuwa Kuna maana kubwa Sana.
Zitto mbona alikuwa anamwita mshamba, mbona hakumgusa?acheni siasa za kitapeli azitawafikisha popoteAcha ujinga, maovu ya marehemu lazima yasemwe ili walio hai wajifunze na kujiepusha kufanya maovu yale. Magufuli alikuwa shetani lazima asemwe akiwa marehemu kwa sababu alitumia nguvu za dola kunyamazisha watu wasimame akiwa hai