Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

Kwanza kusemwa vizuri/vibaya, uwe hai/umekufa ni lazima. Swali ni unasemwa kuh. nn.
Lkn pia kna watu wana ugonjwa wa kumwagia misifa kupitiliza, hao pia ni wa kuwavumilia ingawa inakerehesha.
Kitu kinachonikwaza ni hiki - kuyafanya hayo ukiwa bungeni. Wamepelekwa huko kwa lipi? Wangezungmzia zaidi ya waliomtuma badala ya kuwa wakili wa kumtetea marehamu, wkt wala hajalipwa. Au labda waliompeleka ndo wanalotaka. Kina nani hao?
Mwisho wa yote kuna haja ya kushughlikia ubora wa wabunge wetu. Hakuna namna, ni Katiba Mpya
 
Haki ni asili ya Samia,ile ilikuwa kesi ya mchongo ya sukuma gang usijifanye huelewi.
 
Ila Lissu hakuacha kumsema Magufuli.

Sasa ukijakumsema wakati kafa ndio tutegemee atajirekebisha huko kaburini au ndio kupunguza hasira tu?

Sio kila mtu ni jasiri kama Lisu, hawa wengine walingoja atoke madarakani wateme nyongo. Kwa bahati mbaya kafia madarakani. Hivyo kwakuwa hakuwa mstaarabu acha ukweli wake apewe akiww huko huko motoni.
 
Sasa hata akimsema JPM sasa atamsikia? .Hizo ni dalili za upunguani ni sawa kuongea na mawe ukidhani yanakusikia.lazima aliye sanaa aliporwa hela alizopata kiharamu alipokuwa PAC
 
Kwahiyo kwa wale walisoma logic
Zito anasema waliopenda Jpm wakazikwe chato.
Je Yeye hakuwa anampenda mama yake?
Hakumpenda Maalim
Ndio maana hajazikwa nao.
She is stupid. Narudi she is stupid
Nakazia Shiiiis stupid. Period
Jamani Zito ni He wala si She [emoji1787][emoji1732]
 
Aliogopa Kwa kuwa wasiojulikana na vikosi kazi walikuwepo
Ni tabia ambayo ameridhika kwa mzazi wake Mama ake aliishi kwa musaada alikuwa kilema na yeye amekuwa dalali wa siasa na anaishi kwa misaada ya siasa ya JPM alimmwaga akawa anahaha hana kazi yakufanya sasa karudushwa kwenye udalali na ombaomba huruma ya viongizi apewe ulaji
 
Kwa hiyo sisi tunaomsema unadhan hatujui hatusikii???? Tunajua tukimsema kina nani inawauma sisi kazi yetu ninkumsema mpaka wajiue tutaendeleankumsema hadi 2050
Sekunde 1 yenyewe kuimaliza ni neema zake Mungu pekee, ndiyo uwe na uhakika kama utafika 2050, kweli kuvimbirwa makande ni raha sana [emoji23]
 
Si yeye zao la huyo mbaguzi, mbambikaji, mtekaji, mpotezaji watu na mwenye roho mbaya.
Kibaya kinazikwa na wabaya.
Hata nawe ungepotezwa tu maana unaropoka hapa ilihali haujapotezwa uko hai na huenda ukawa na roho mbaya hata zaidi ya shetani lakini unajificha tu nyuma ya keyboard [emoji34]
 
Mwambieni Lusinde hatuwezi kupowa kuanika UFEDHULI alioufanya huyo mungu wenu wa Chato kwa Watanzania. Zitto kabwe alisema this week, na Mwingira kasema miezi 3 iliyopita. Hatupoi mpaka dunia nzima ijuwe kuwa tulikuwa kwenye himaya ya shetani kwa mwaka 2015-20.
 
Sekunde 1 yenyewe kuimaliza ni neema zake Mungu pekee, ndiyo uwe na uhakika kama utafika 2050, kweli kuvimbirwa makande ni raha sana [emoji23]
Uzuri yy ndo kafa (naenjoy) ,ila usijar tusiompenda ninidadi ya kura za chadema za uongo za 2020 mpaka tufe wote ,tunavikao na kamati za kumsema na tunahakikisha hii haiishi walau 2100 itakiwa anasemwa na wajukuu wangu hard than me na wanae wasirelax urithi ni toa hela za kodi zetu alizoiba na doto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…