Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

Tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutasaidia kitu, hayupo na hawezi kujibu kitu, kama una tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu.

Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa, tunamuachia Mungu kuja kutoa hukumu.
Idi amini na hitler mpaka leo tunawasema sembuse ibilisi magufuli
 
Sasa kwani Mbowe na Lissu waliacha kumkosoa Jiwe? Mbona walikuwa wanamkosoa na hata huyo Zitto alikuwa anakosoa ila sasa hivi hamkosoi Samia. Ila wale wa kijani wakiwashwa kumkosoa Samia yatawakuta kama yaliyomkuta Ndugai.
Zitto mbaguzi, hawezi kumkosoa SSH hata kidogo. Sio kwa sababu SSH anafanya vizuri, ni kwa sababu wa dini yake.
 
Zitto mbaguzi, hawezi kumkosoa SSH hata kidogo. Sio kwa sababu SSH anafanya vizuri, ni kwa sababu wa dini yake.
Kwani anayosema kuhusu Magufuli Yana ukweli ndani yake!? Tuanzie hapo ili kulinda legacy kama ipo
 
Kwani anayosema kuhusu Magufuli Yana ukweli ndani yake!? Tuanzie hapo ili kulinda legacy kama ipo
Ukiambiwe ukazikwe pembeni ya mpendwa wako, unapataje ukweli nadni yake? Kuna nini cha kutafuta hapo?
 

Hayo utajua ww.
 
Alijitokeza. Lusinde aliongea bungeni. Na ni wangapi walimkosoa na bado wako hadi leo. Mnamkuzia mambo marehem

Jitahidi kuvumilia ukweli, kwako ni marehemu, kwetu sisi wengine ni kiongozi muovu.
 
Zitto mbaguzi, hawezi kumkosoa SSH hata kidogo. Sio kwa sababu SSH anafanya vizuri, ni kwa sababu wa dini yake.
Yule sidhani kama ni mdini ni mshirikina tu yule, ukiangalia kipindi cha kikwete alikuwa anapiga hela na ukiangalia sasa hivi na chama chake ndio utaelewa kwanini ana hasira na Jiwe.
 
Hapo kafunga lakini kaweza kumwaga hasira hizo,tusubiri akifungulia...
 
Huyo mbunge nae mnafiki tu, ameshindwa kuzungumzia unafiki wa SSH? Naye ni muoga tu na mnafiki, SSH alimsema JPM vibaya kabla ya Zitto.
 
Pumbavu utamsemaje Maalim Seif kwa ubaya wakati hata siku moja hakudhulumu haki za wanyonge kama Magufuli, Lusinde jiheshimu tafadhali.
 
Hata hivyo, zitto hawezi kubadirisha uamzi wa wanaomkubali JPM, ila yeye namhurumia na Uisilamu wake!
Jihurumie wewe na dhambi zako acha Zitto Kabwe awalipue mlizidi sana, utekaji, udhulumaji, majivuno, kuhujumu chaguzi, kuwafanyia jinai viongozi wa vyama vya upinzani za kishenzi, mkaleta ukabila na ukanda pumbavu nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…