Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 771
Hii lugha ilipanda mwewe wala sio mtumbwi wala ngalawa kila mtu awe anajua. Mwambie aende shule tenaUngeandika tu kwa Kiswahili kuliko kuharibu lugha ya watu usiyo na uwezo nayo.
Inaonekana una tatizo kubwa kwenye lugha hii. Matumizi ya do, does na did kwenye uwingi na umoja yanafundishwa shule ya msingi. Ina maana hata elimu ya msingi hukuhitimu?