Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Labda hela za kaburi zimeisha liwa na wajsnja! Naona ameisha kuwa “zilipendwa”. Tuna akili Kama ya kuku. Akiwa mzima ilikuwa oyeeeeeee Magufuli, no more.
 
Hivi kuna ulazima gani kujengea bati?au bado wanagopa mabeberu wanaweza kuja iba lile fuvu la kichwa
Zilipendwa. Ona maiti yake ilipelekwa kila mahali kutuonyesha kuwa kweli amekufa. Lini maiti ikachezewa hivyo! RIP JPM. They killed him. Mara muhimbili, Mara kwa mzena. Tuliambiwa ni mzima kumbe amekufa, Kwa kuwa tuna akili za kuku basi yote hayo tumeisha sahau. Kuku oueeeeee
 
Zilipendwa. Ona maiti yake ilipelekwa kila mahali kutuonyesha kuwa kweli amekufa. Lini maiti ikachezewa hivyo! RIP JPM. They killed him. Mara muhimbili, Mara kwa mzena. Tuliambiwa ni mzima kumbe amekufa, Kwa kuwa tuna akili za kuku basi yote hayo tumeisha sahau. Kuku oueeeeee
Ndio tofauti ya Hayati na Marehemu

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Panajengwa ready for uzimaji wa mbio za Mwenge mnaobeza mtashangaa na kuanza kulialia kodi zenu zinatumika vibaya
 
Umekasirika?
Huoni kuwa ni fedheha kwenu nyie mnaomuenzi kuwa kahifadhiwa pachafu?
Mkuu

anachana na johnthebaptist, ni msaliti na inavyoonesha ndiye sehemu ya hujuma alizofanikisha maana majizi ya CCM yamefurahi ile mbaya kwa JPM kufariki na huyo ni mmoja wao, kuna siku utamwona kwa sura yake halisi akitamka haya kwa kinywa chake hutaamini. Hapa kajificha kwenye utambulishi ghushi tu lakini anajulikana sana ni fulani.
 
Masharti ya mganga pengine....Nimejaribu kuwaza tu kwa sauti

Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa ngwajima anaendelea kuomba ili afufuke.

Maua yamewekwa kanda as if there's something going on there.

Na vile ule mfuniko ni slade ni kusogeza huko kumpandisha juu kupiga manyanga kama yote waiting him to kupumua.

Yapo mengi hatuyajui mtani
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?

Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.

Wahusika mjitathmini.

View attachment 1784695
View attachment 1784754
Watanzania mjifunze kuachilia mambo! Sasa kaburi nalo la kuliheshimu? Liwe na banda lisiwe na banda si issue. Kaburi litabaki kuwa kaburi na huyu mtu alishaenda zake tuliobaki tusiendelee kumtukuza!!! Anayestahili kutukuzwa ni Mungu tu siyo kaburi!!!! Mwacheni mwenda zake aliyeenda zake!!!!
 
Haya kuna wasemao ujenzi unaendelea, I hope so. Ila ninachokiona ni kuwa mazingira ya 'akili ndogo' yameanza. Wajua, hata kama tutatofautiana juu ya uongozi wa Magufuli, ila kuna mambo ameyaweka vizuri wakati wake. Watanzania kwa hulka, tangu Nyerere, huwa hawapendi vitu vizuri, wala hawavijui. Wamekuwa wakojivunia umaskini na uhali duni wa kila kitu. Kila kitu ovyo ovyo: stadium hazina hata majani (watu waona sawa tu) Ikulu chafu chafu (waona sawa tu) . Hadi leo Dar jioni ni giza tu (watu waona sawa), sehemu za kutembelea zimebomoka na hatarishi (sawa tu)! Lakini tangu aje Magufuli amegeuza kabisa mtazamo wa 'akili ndogo' akawa ana 'dare' kufanya makubwa. Hata gwaride la askari tukaanza kuona wamevaa nguo maridadi, wana vyombi vipya vya muziki na kwa ujumla kuna nidhamu. Na ni hivyo hivyo amegeuza hali katika Hospitali, maofisi, Airport.... hadi shughuli ya kuapisha maofisa wa serikali imekuwa jambo la kupendeza kutazama......! MUngu amrehemu....kwa kweli amewafungua macho Watanzania wengi. Fast Forward.....sasa turudie ukoko wetu!
 
Wangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
matusi hayo!! Umeona hawana akili au. Hater kijijini kwao atoke wapi.

Akitokea huko kwao. Dhidi ya mtoto wao huyo mtu ni mchawi.aliyowapatia yanawatosha kulinda ilo kaburi masaa yote.
 
Haya kuna wasemao ujenzi unaendelea, I hope so. Ila ninachokiona ni kuwa mazingira ya 'akili ndogo' yameanza. Wajua, hata kama tutatofautiana juu ya uongozi wa Magufuli, ila kuna mambo ameyaweka vizuri wakati wake. Watanzania kwa hulka, tangu Nyerere, huwa hawapendi vitu vizuri, wala hawavijui. Wamekuwa wakojivunia umaskini na uhali duni wa kila kitu. Kila kitu ovyo ovyo: stadium hazina hata majani (watu waona sawa tu) Ikulu chafu chafu (waona sawa tu) . Hadi leo Dar jioni ni giza tu (watu waona sawa), sehemu za kutembelea zimebomoka na hatarishi (sawa tu)! Lakini tangu aje Magufuli amegeuza kabisa mtazamo wa 'akili ndogo' akawa ana 'dare' kufanya makubwa. Hata gwaride la askari tukaanza kuona wamevaa nguo maridadi, wana vyombi vipya vya muziki na kwa ujumla kuna nidhamu. Na ni hivyo hivyo amegeuza hali katika Hospitali, maofisi, Airport.... hadi shughuli ya kuapisha maofisa wa serikali imekuwa jambo la kupendeza kutazama......! MUngu amrehemu....kwa kweli amewafungua macho Watanzania wengi. Fast Forward.....sasa turudie ukoko wetu!
Well said, umesema ukweli kabisa. Bongo wengi tuna akili ya vifaranga vya bata. Alikata rushwa na ndiyo maana wamemuua. I still believe there are some people with blood in their hands. Why lie to us that he was ok when he was dead. Wana kula nchi sasa tumerudi enzi za kikwete, kusafiri hovyo hovyo kabisa.RIP JPM.
 
Mjengo unaloendelea nyuma ya hilo bati ukiisha mtasaga meno.ni swala la muda tu. Tumeweka kwa wajili ya waombolezaji wanaokuja kila siku, huku ujenzi ukiendelea.

Mtulie sindano itawaangia vizuri njengo ukiisha
Watasaga meno kwa mtu aliye kuzimu? Au atarudi hilo jengo likimalizika?
 
Kelele zako zenye nia njema zimesikika. Wameshamjengea nyuma, tena nzuri tu.

Mama anasoma mitandao na huenda ni member humu.




Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?

Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.

Wahusika mjitathmini.

View attachment 1784695
View attachment 1784754
 
Back
Top Bottom