FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mbona hayo ni mashada makavu? Zizi liko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mi nashangaa, aibu gani?Mwisho wa aibu? Fafanua mkuu!
Watakua wameiba acc yako bwasheeNenda wewe ukafagie!
Sasa hilo kaburi la mwendakuzimu na wewe umeona bonge la dili? Mpaka pasipigwe Picha?Hivi kwanini wameruhusu picha Zipigwe..
Anyway.. Zimepigwa. Kwanini zisambazwe.
Dahh.. Too bad.
Akikujibu nistue... Nijue namimi hizo kanuniHizo siku 100 ni kwa mujibu wa sheria/kanuni zipi?
Dah, mdada uliyejitoa ufaham katika utawala wa magufuli, nakuinea huruma aisee, Mungu ni muweza wa yote
Kajifunze kwanza kiswahili fasaha ndio uje uchangie hoja hapa!mbafuuuuuuuuuu
Wamelijengea na banda la mabati ili asije akatokaHivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Je, hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.
Masharti ya mganga pengine....Nimejaribu kuwaza tu kwa sautiHivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Je, hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.
Asili yako ni roho mbayaKazI iendelee..
Sasa kaenda zake.. minyi mumebaki alosto.. zaidi ya enzi zileeeee..
Hongera kwa kujiita neno hilo mwishoni
Kigogo aliapa atakuja kunya hapo.!!! Wacha liwe wazi Kigogo afurahishe moyo wake !!Wangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Ikoje kama haipo kwako unayefahamu na kuishi hivyo?Asili yako ni roho mbaya