Sisi tupo njiani kwenda kuhiji kwenye kaburi la MWANA AFRIKA wa kweli,JPM.
Huyu mtu hakuwa mtu wa kawaida sana. Ukitaka kujua kuwa JPM si wa kawaida, subiri uchaguzi mkuu 2025. Gombea kwenye uchaguzi huo halafu umkashfu hayati JPM kwenye mikutano ya Kampeni. Majibu utakayoyapata kwenye sanduku la kura yatakuwa ni somo tosha kukujulisha kuwa JPM hakuwa mtu wa kawaida.
Huyu mtu hakuwa mtu wa kawaida sana. Ukitaka kujua kuwa JPM si wa kawaida, subiri uchaguzi mkuu 2025. Gombea kwenye uchaguzi huo halafu umkashfu hayati JPM kwenye mikutano ya Kampeni. Majibu utakayoyapata kwenye sanduku la kura yatakuwa ni somo tosha kukujulisha kuwa JPM hakuwa mtu wa kawaida.