Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kelele zako zenye nia njema zimesikika. Wameshamjengea nyuma, tena nzuri tu.

Mama anasoma mitandao na huenda ni member humu.




Chattle wanatuzengua na FUTUHI yao,Ndiyooo ni FUTUHIIII.......Jengo hilo waliotuonyesha ni nyumba ya zamani tu sema wameamua kupiga rangi na kuweka mabango ya JPM tuone ndio kburi limejengwa,ni amini bado mabati yapo baada ya kelele nadhani ndio wataanza kufanya maandalizi ya kulijengea!! Hilo Jumba waliotuonyesha sio KABURI. .. Hiyo ni nyumba ilikuwepo tu zamani.
 
Ahadi yangu ya kunya kwenye kaburi la huyo fisadi na muuaji iko pale pale!
sijui nikuweke katika kundi gani,huna hata chembe ya huruma,mtu akifa apewe heshima yake sio yeye tu hata mtu usiyemjua ukiliona kaburi lake mpe heshima yake
 
sijui nikuweke katika kundi gani,huna hata chembe ya huruma,mtu akifa apewe heshima yake sio yeye tu hata mtu usiyemjua ukiliona kaburi lake mpe heshima yake
Karma is a bitch,inakukamua hata ukiwa kaburini. Acha karma ifanye yake
 
1634142245373.png


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishirki katika sala fupi ya kumuombea aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye kaburi la marehemu, wilayani Chato, Mkoani Geita, Oktoba 12, 2021. Kushoto ni Mama Janeth Magufuli na aliyepiga magoti ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama.

Lala salama shujaa wa Tanzania.
 
View attachment 1973228

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishirki katika sala fupi ya kumuombea aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye kaburi la marehemu, wilayani Chato, Mkoani Geita, Oktoba 12, 2021. Kushoto ni Mama Janeth Magufuli na aliyepiga magoti ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama.

Lala salama shujaa wa Tanzania.
Kwanini kapiga magoti, au ni mlemavu?
 
View attachment 1973228

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishirki katika sala fupi ya kumuombea aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye kaburi la marehemu, wilayani Chato, Mkoani Geita, Oktoba 12, 2021. Kushoto ni Mama Janeth Magufuli na aliyepiga magoti ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama.

Lala salama shujaa wa Tanzania.
Lengo la comment yako ni kutuonesha kwamba mwendazake kajengewa kibanda cha kisasa kutoka kile cha awali cha mabati,but all in all mwendazake kaenda zake hana jipya tena hapa chini ya jua Apumzike kuzimu
 
Lengo la comment yako ni kutuonesha kwamba mwendazake kajengewa kibanda cha kisasa kutoka kile cha awali cha mabati,but all in all mwendazake kaenda zake hana jipya tena hapa chini ya jua Apumzike kuzimu
''Kabla hujafa hujaumbika.'' Wewe utaishi milele?
 
Naishukuru Serikali kwa kuamua kumjengea marehemu mahali salama na pa heshima .apumzike kwa amani.
 
Get your life, don't jump to things which does not concern you.
Ungeandika tu kwa Kiswahili kuliko kuharibu lugha ya watu usiyo na uwezo nayo.

Inaonekana una tatizo kubwa kwenye lugha hii. Matumizi ya do, does na did kwenye uwingi na umoja yanafundishwa shule ya msingi. Ina maana hata elimu ya msingi hukuhitimu?
 
Ungeandika tu kwa Kiswahili kuliko kuharibu lugha ya watu usiyo na uwezo nayo.

Inaonekana una tatizo kubwa kwenye lugha hii. Matumizi ya do, does na did kwenye uwingi na umoja yanafundishwa shule ya msingi. Ina maana hata elimu ya msingi hukuhitimu?

Watu mnajifanyaga wajuaji wa kila kitu.Mtu wa Maneromango lakini ujuaji utadhani umezaliwa Buckingham Palace na kina Prince Harry.
 
Ungeandika tu kwa Kiswahili kuliko kuharibu lugha ya watu usiyo na uwezo nayo.

Inaonekana una tatizo kubwa kwenye lugha hii. Matumizi ya do, does na did kwenye uwingi na umoja yanafundishwa shule ya msingi. Ina maana hata elimu ya msingi hukuhitimu?
Niliona Ila nikasema isianze na mimi.
 
Back
Top Bottom