Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

"Mtanikumbuka..."

Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..

Heshimu ya watu na yao...
Kajifunze kwanza kiswahili fasaha ndio uje uchangie hoja hapa!mbafuuuuuuuuuu
 
Hivi hilo hapo ni Kaburi au banda la mifugo? Hii ni aibu.
Sikuona mantiki ya Makamu wa Rais kwenda kuzuru hilo kaburi wakati hata miezi miwili haijaisha toka awepo hapo kwa mazishi.

All in all, Makamu wa rais angeweza kufika kwenye hilo kaburi, lakini picha zisipigwe ili kulinda utu na hadhi ya marehemu aliyezikwa hapo. Busara zilipaswa kutangulia kwanza.
Legacy inalindwa babu
 
Mjengo unaloendelea nyuma ya hilo bati ukiisha mtasaga meno.ni swala la muda tu. Tumeweka kwa wajili ya waombolezaji wanaokuja kila siku, huku ujenzi ukiendelea.

Mtulie sindano itawaangia vizuri njengo ukiisha
Sawa hakuna shida familia itajenga kwa fedha alizokwapua
 
Kila kukicha mnaanzisha thread mpya humu...mkiambiwa mumuenzi kwa vitendo hamtaki....twendeni tukajitolee kusafisha na kujenga maktaba ya kisasa na makumbusho kaburi likiwa ndani...iwe sehemu ya utalii kwa mzalendo namba moja..
Ww ndio umebaki na akili za kufikir hapo mataga
 
Mna haraka na kiherehere....tuvute subira tutaona wanachotaka kujenga pale MATAGA hawaaamini ukuu wa Mungu
Ndiyo tumekusikia! Lakini, status yake ya sasa ni ndani ya banda la Ma ba ti.
 
"Mtanikumbuka..."

Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..

Heshimu ya watu na yao...
Dah, mdada uliyejitoa ufaham katika utawala wa magufuli, nakuinea huruma aisee, Mungu ni muweza wa yote
 
Hivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?

Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?

Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.

Je, hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tu?

Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.

View attachment 1786719
Kama Mwinyi alivyopewa zawadi ya Benz,ilikuwa ni upumbavu wa Hari ya juu na matumizi mabaya ya pesa ya umma,hata kulitunza kaburi la JPM ni matumizi mabaya ya pesa ya umma,JPM ana familia yake,yenye ukwasi mkubwa tu wanashindwa nini kutunza kaburi la dingi yao,kwetu wabongo huo mzoga hauna faida Tena,watunze wenyewe
 
Mimi nikifa nizikwe hapa hapa hapa mjini...najua hapatakosa masela wawili watatu wakuja kusafisha kaburi langu..kuliko mkinizika huko SITIMBI
 
Sio familia ni Serekali na Mwenge unaenda kuzimwa pale na kuzindua mosaleam ya hatari

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Serikali ya Bi. Mkubwa haishughuliki na mambo ya kipumbavu, umesahau msemo " malipo ni hapa hapa duniani ". Wajerumani hawataki kabisa kumsikia mtu anayeitwa Hitler maana unawakumbusha machungu yaliyowapata. Kumbuka watu wamepoteza wapendwa wao na wanahisi uchungu mkubwa. Wee unaongea nini?
 
Mzee wa miundombinu huyo! Na kweli wasukumu ni wasukuma tu manake siku ile ya mazishi mwili haukushushwa kaburini, watu walidanganywa na uchukuaji wa picha ulikuwa strictly directed kutoonesha ukweli wa mambo. Mtu alizikwa baadaye sana kwa staili ya kisukuma na mambo mengine mengi ya kienyeji.
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?

Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.

Wahusika mjitathmini.

View attachment 1784695
View attachment 1784754

Wangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.

Kwa hadhi yake wasingeshindwa kujenga kwa nguzo na kuezekwa kwa vigae .lakini hili si kama jiko la kijijini?

Ni bora wasingeweka hayo mabati.

Ujenzi unaendelea bwashee!

Labda kuna ujenzi unaendelea kwa nje, mpiga picha alitakiwa kupiga picha kwa nje pia

Hapa ni kama unabahatisha tuu. Tuombe iwe kweli

Bora angepotelea tu kusiko julikana kama Adolph Hitler! Hii ingewasaidia wafuasi wake kuacha kwenda kumuabudu/kuendelea kumtukuza.

Hivi kuna ulazima gani kujengea bati?au bado wanagopa mabeberu wanaweza kuja iba lile fuvu la kichwa

[emoji1787][emoji1787] mmemtelekeza mzee. Bora mngeacha aisee
 
Serikali ya Bi. Mkubwa haishughuliki na mambo ya kipumbavu, umesahau msemo " malipo ni hapa hapa duniani ". Wajerumani hawataki kabisa kumsikia mtu anayeitwa Hitler maana unawakumbusha machungu yaliyowapata. Kumbuka watu wamepoteza wapendwa wao na wanahisi uchungu mkubwa. Wee unaongea nini?
Wacha kutogambanisha na Mama. Unajua mwenge unazinduliwa kesho na utazimwa Chato? Na kubwa litakuwa ni hilo Kaburi la shujaa wa wanyonge

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo inatosha, at least inazuia asifukuliwe na fisi. Alikuwa na roho mbaya sana huyu babake Sabaya.
 
Back
Top Bottom