Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Hivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Jee hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tuu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.View attachment 1786719
Ndio ujue kila mtu alimchukia hadi familia yake
 
"Mtanikumbuka..."

Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..

Heshimu ya watu na yao...
 
Hivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Jee hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tuu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.View attachment 1786719
Hivi hilo hapo ni Kaburi au banda la mifugo? Hii ni aibu.
Sikuona mantiki ya Makamu wa Rais kwenda kuzuru hilo kaburi wakati hata miezi miwili haijaisha toka awepo hapo kwa mazishi.

All in all, Makamu wa rais angeweza kufika kwenye hilo kaburi, lakini picha zisipigwe ili kulinda utu na hadhi ya marehemu aliyezikwa hapo. Busara zilipaswa kutangulia kwanza.
 
"Mtanikumbuka..."

Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..

Heshimu ya watu na yao...
Hivi wewe muda wote umelewa au kuandika ndio hujui?
Sidhani kama kuna aliyekuelewa
 
Kila kukicha mnaanzisha thread mpya humu...mkiambiwa mumuenzi kwa vitendo hamtaki....twendeni tukajitolee kusafisha na kujenga maktaba ya kisasa na makumbusho kaburi likiwa ndani...iwe sehemu ya utalii kwa mzalendo namba moja..
 
Back
Top Bottom