Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Hata hivyo wamemstahi sana ilpaswa paachwe wazi ili mifugo kama kuku na bata ziwe zinapanda na kunya juu ya kaburi la mwendakuzimu.
 
kwa rais aliefanya mengi makubwa japo alikuwa na mapungufu yake HASTAILI KUJENGEWA KIBANDA MBWA KAMA HIKI... Watu wanasema sijui kuna ujenzi unaendelea kwa nje noo ni uongoo siku zote hizo ingepatikana hela lilikuwa ni jambo ambalo lingefanyika siku ileile aliyozikwa maana ujenzi unafanyika kulizunguka kaburi. Kupitia hili tunajifunza jambo moja kubwa Mwanadamu ana thamani na kibri akiwa hai lakini ukiwa kitandani hoi na mauti bhasi jua huna thamani tena. SERIKALI ILIANGALIE HILI UPYA MAGUFULI HAPA HAJATENDEWA SAWA. Ubaya hata wazungu walikuwa wanamuona kama adui leo wakiona hicho kibanda cha mabati hapo daah itakuwa story mbaya san.
 
Magu mwenyewe hakutaka makuu, alitaka pesa zikafanye maendeleo ya watanzania hasa wanyoge.....nashangaa watu mnavyojitutumua hapa kudhani kwamba serikali haiwezi kujenga permanent structure hapo, kama waliweza kugharamia mazishi na hilo kaburi la kisasa watashindwa jengo tu, wabongo mmezidi sana kuja na hoja nyepesi kila mara..
 
Magu mwenyewe hakutaka makuu, alitaka pesa zikafanye maendeleo ya watanzania hasa wanyoge.....nashangaa watu mnavyojitutumua hapa kudhani kwamba serikali haiwezi kujenga permanent structure hapo, kama waliweza kugharamia mazishi na hilo kaburi la kisasa watashindwa jengo tu, wabongo mmezidi sana kuja na hoja nyepesi kila mara..
Lakini unaonaje mwonekano wa hapo mahali, unadhani ni hali inayoonyesha mtu aliyeenziwa? Hilo ndilo jambo.
 
Lakini unaonaje mwonekano wa hapo mahali, unadhani ni hali inayoonyesha mtu aliyeenziwa? Hilo ndilo jambo.
Nafikiri kuna kamati ya mazishi waliopewa hilo jukumu, tuwape muda.....ikitokea hali ikiendelea kubaki hivi hivi lazima watu tuulize kulikoni?
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?

Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.

Wahusika mjitathmini.

View attachment 1784695
View attachment 1784754
Mkuu,

Ungeuliza swali kwanza hivi:

Je, nani alikuwa mwenyekitui wa kamati ya mazishi ya hayati JPM?

Je, kaburi la hayati JPM liligharamiwa na serikali kuu au srikali ya mkoa wa Geita?

Je, siku kumi za maombolezo kabla hajazikwa tarehe 26/3/2021 tangu tarehe 17/3/2021 zilikuwa hazitoshi kufanya maandalizi ya kaburi hilo na kuwa na hadhi ya Rais?

Je, tatizo lilikuwa gharama au uhaba wa fedha?

Je, kuna mtu alizuia kaburi lisitengezwe kufikia hadhi ya kuzikwa Rais?

Kwanini, mashada ya maua ambayo waombolezaji walikuwa wakiweka simu ya maziko hayajahamishwa na kuhifadhiwa kwa utaratibu wa kueleweka mpaka sasa kiasi inaonesha hayati alizikwa na watu wasiompenda na hawataki kumbukumbu naye tena?

Je, familia ndio ilizuia asijjengewe kaburi lenye hadhi ya Rais ijapokuwa uhai haupo tena?

WITO kwa mamlaka ya NCHI ya JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA

1. Nendeni mkajifunze namna bora kaburi la hayati Maalim Seif Sharrif Hamad lilivyojengwa kwa ustadi na usalama kwa kumubukumbu endelevu
2. Makaburi yafuatayo yaingizwe kwenye kumbukumbu ya taifa: Mwalimu Julius Nyerere, Sheikh Abeid Aman Karume, Benjamin William Mkapa, Dk John Pombe Magufuli, Aboud Jumbe Mwinyi, Dk Omar Ali Juma, Edward Moringe Sokoine, Adamu Sappi Mkwawa, Samwel Sitta. Sanamu zao ziwekwe kwenye Uwanja wa mashujaa DODOMA karibu na stendi uya zamani ya mabasi iwe ni sehemu ya utalii
 
Marehemu nduli alidhani akifa atazikwa ndani ya dreamliner, au lile bullet proof lenye Jammer kumbe alikuwa anajidanganya , sasa katupwa kwenye kibanda cha mabati, yapate moto aungue vizuri
 
Mkuu,

Ungeuliza swali kwanza hivi:

Je, nani alikuwa mwenyekitui wa kamati ya mazishi ya hayati JPM?

Je, kaburi la hayati JPM liligharamiwa na serikali kuu au srikali ya mkoa wa Geita?

Je, siku kumi za maombolezo kabla hajazikwa tarehe 26/3/2021 tangu tarehe 17/3/2021 zilikuwa hazitoshi kufanya maandalizi ya kaburi hilo na kuwa na hadhi ya Rais?

Je, tatizo lilikuwa gharama au uhaba wa fedha?

Je, kuna mtu alizuia kaburi lisitengezwe kufikia hadhi ya kuzikwa Rais?

Kwanini, mashada ya maua ambayo waombolezaji walikuwa wakiweka simu ya maziko hayajahamishwa na kuhifadhiwa kwa utaratibu wa kueleweka mpaka sasa kiasi inaonesha hayati alizikwa na watu wasiompenda na hawataki kumbukumbu naye tena?

Je, familia ndio ilizuia asijjengewe kaburi lenye hadhi ya Rais ijapokuwa uhai haupo tena?

WITO kwa mamlaka ya NCHI ya JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA

1. Nendeni mkajifunze namna bora kaburi la hayati Maalim Seif Sharrif Hamad lilivyojengwa kwa ustadi na usalama kwa kumubukumbu endelevu
2. Makaburi yafuatayo yaingizwe kwenye kumbukumbu ya taifa: Mwalimu Julius Nyerere, Sheikh Abeid Aman Karume, Benjamin William Mkapa, Dk John Pombe Magufuli, Aboud Jumbe Mwinyi, Dk Omar Ali Juma, Edward Moringe Sokoine, Adamu Sappi Mkwawa, Samwel Sitta. Sanamu zao ziwekwe kwenye Uwanja wa mashujaa DODOMA karibu na stendi uya zamani ya mabasi iwe ni sehemu ya utalii
Ndefu sana ngoja nisome.kwanza
 
Ili mwendazake asinyeshewe?

Mwavuli tu ungemtosha, asituchoshe....
Bado kuna maua ya kumbukumbu kwa familia yake. Ingawa wewe ulifurahia kufa kwake elewa pia kuwa familia yake ilihuzunika.
 
Back
Top Bottom