Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Aisee huyu mwendazake angefufuka afu akasoma comments za raia wake, angededi tena ghafla....Wangepanda miti ya miiba tu mtu mwenyewe ndiyo hivyo tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee huyu mwendazake angefufuka afu akasoma comments za raia wake, angededi tena ghafla....Wangepanda miti ya miiba tu mtu mwenyewe ndiyo hivyo tena
Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburimQq
Nchi hii ni tajiri sana tunapigwa mno ndiyo size yake hiyoHii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Tatizo ni uelewa tu "kwanini mlisubiri hadi vp aende?" Hilo ndilo swali langu MkuuKama ulitaka hiko kibanda kisionekane kwenye mitandao basi mngekataza VP alipotembelea asipige picha .
Sio kukojolea tu hata kupigana mitiWangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Ya Mungu mengi hatujui huko mbeleni hata hicho kilichopo kama hakitabomoshwa...Wew ulitegemea wamjengee kibanda cha Ghorofa
Tatizo mnaishi kwa kukariri!Kwani Mkapa amejengewaje kule Lupaso
Haisaidii chochote!Wangeliacha wazi ningeenda kulikojolea!
Inatakiwa wajenge banda la zege ili kigogo ashindwe. Kwenda kushusha mzigo paleHii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Anajitafutia mabalaa tuHaisaidii chochote!
Kaburi la familia ya watu inatuhusu nini sisi? Hebu tuwekee makaburi ya ndugu zako kama angalau hata yana fensi ya mabati,?! Achana na mambo yasiyokuhusu.