The Bleiz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 5,070
- 13,511
Aisee.Ramani inaonesha hapo juu kuna flaiova, ujenzi utakua unaendelea, tuwe wavumilivu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.Ramani inaonesha hapo juu kuna flaiova, ujenzi utakua unaendelea, tuwe wavumilivu....
Nyie subirini, mnaweza shangaa sana wakija baadae leta gharama(quotation)ya ajabu ya ujenzi wa hicho kibanda serikalini kwa malipo, basi ndo mnaweza jua hamjui... kazi iendeleeTena kilichoezekwa kabisa...
Ya familia tuwaachie wenyewe.Huenda hata wao tabia zake zilishawakinai. Si unajua alivyokuwa "mbabe?"Hapana kwakweli hawamtendei Haki. Hao wanafamilia nao wameshindwa kujengea hata kama serikali imewasahau?
Litakamilika sambamba na ujenzi wa SGR ili kuwe na tafrija ya pamoja katika kuenzi juhudi.Ninavyoelewa ni kuwa eneo line sasa hivi lina mvua nyingi sana kwa hiyo sishangai kama walijenga hilo banda kuwa temporarly shelter hadi mmvua zitakapokiwsha
mbona hakuna dalili za muendelezo hapo [emoji38][emoji16]hapo ujenzi gani unaendelea ndani ya kijumba cha mabati kidogo kama hivyo??
Wangepanda miti ya miiba tu mtu mwenyewe ndiyo hivyo tenaHii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Tusage meno kwa mfu Ili iweje ,hata kama wanajenga lingine lakini hili Banda la Kuku wangeachana nao bora pangebaki tu wazi na ujenzi mkubwa ukiendeleaMjengo unaloendelea nyuma ya hilo bati ukiisha mtasaga meno.ni swala la muda tu. Tumeweka kwa wajili ya waombolezaji wanaokuja kila siku, huku ujenzi ukiendelea.
Mtulie sindano itawaangia vizuri njengo ukiisha
Wakijengea vigae atafufuka kuja kukupa udc?Kwa hadhi yake wasingeshindwa kujenga kwa nguzo na kuezekwa kwa vigae .lakini hili si kama jiko la kijijini?
Wewe kama ulikuwa unamkubali usingepiga picha eneo hilo. Vinginevyo changanya na zako. Mpango utaendelea kuwa mpango wa kumdhalilisha.Hawa wapiga picha wa serikali wanazidiwa akili na wapiga picha wa wasaniii hv kuna umuhimu gani wa kupiga picha ya namna ile maua yaliokauka na yale mabati? Ndo maana nasema viongozi wetu wanapenda sana kila wanalofanya watu wajue ww umekwenda kwenye kaburi kulikuwa na ulazima gani watu wajue ? Vitu vingine ni ujinga sana na upuuzi tu.
InterestingKwani hujui Jengo la Mwendazake?
Watu wanaojidai kupiga vitarushwa ndio wezi wakubwa!
Kwa Magufuli alitakiwa kujengewa kibanda cha nyasi kabisa, mshenzi na muuaji mwenye roho mbaya alidhani ataishi mileleHii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Aisee we binadamu, utachangia gharama za matibabu ya mbavu zangu....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbona hakuna dalili za muendelezo hapo [emoji38][emoji16]View attachment 1785460
Kwa Magufuli alitakiwa kujengewa kibanda cha nyasi kabisa, mshenzi na muuaji mwenye roho mbaya alidhani ataishi milele
Sasa watu wako huru kuongea.Interesting