Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishi vizuri na watu, utajiwekea akiba kwenye mioyo ya watu, mwendazake aliyajenga maisha yake katika kuumiza wengineDaaaaah kufa udharirike
Kwani hujui ujenzi ukiwa unaendelea, site inazungushiwa mabati?Ujenzi unaendeleaje nje ya kibanda?
Naona kina Idugunde na nigrastract wanaelekea madhabahuni kusujudu. Cheki mishada ilivyokaukianaHii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
why kwa muda tu???? rais sio wa kushindwa kujengewe japo kajumba kadogo ka matofali...its shameHilo limejengwa kwa muda tu
hapo hicho kibanda ujenzi unaendelea ndani ya kaburi au??? siku 40 sio za kushindwa kuchagua dizain ya kajumba kazuri cha kujengea kaburi la rais ishu ni kwamba no body cares at allYes mkuu thanks kwa kuona hilo.
Hakika unaweza kugundua akili ya mtu kwa kuhoji au anachoandika, maana kwa akili ya haraka haraka hawa vijana wetu wa (new age) wangejiuliza sehemu mbalimbali kukiwa wamezungusha mabati buwa ni nini kinaendelea humo?.
Jibu lingetosha kujua ahaa kuna ujenzi unafanyika, sasa kwa hapa imekuwa nongwa kwa familia na marehemu pombe.
hapo sio kujengea kaburi ni kijumba cha kuzunguka kaburi...Kuna taratibu za kujengea makaburi.... na muda wa kujengewa hapo bado
Muda ukifika watajenga na usiache kuongeza picha
hapo ujenzi gani unaendelea ndani ya kijumba cha mabati kidogo kama hivyo??Kwani hujui ujenzi ukiwa unaendelea, site inazungushiwa mabati?
Kama ulitaka hiko kibanda kisionekane kwenye mitandao basi mngekataza VP alipotembelea asipige picha .Je
Fikiria vema utaelewa maana ya swali langu... (aidha ikiwa tu mtu anashindwa kuzuru kaburi la mpendwa wake ambae anataka aaminishe dunia alikuwa akimpenda sana... je anawezaje kuitetea "legacy" aiimbayo kila uchao?"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni nini hicho?
Yaelekea familia pia imefurahia bwana yule kwendazake...LOoooh, kuna majibu ambayo hayategemewi kabisa!
Siyo swala la kibanda pekee. kwa kiongozi aliyeliliwa vile, pamoja na mabaya yanayomhusu; lakini mwonekano katika eneo hilo ulivyo kwa sasa ni wa kusikitisha.
Hata hayo maua yaliyokaukiana humo hayastahili kabisa kuwemo humo.
Hata ndugu tu, wangeweza kujitolea kadri wawezavyo kulipa mwonekano wa hadhi kaburi hilo.
Hii inatoa tafsiri pana sana kuhusu maisha ya Magufuli.
Na wanyonge kuzikwa kama paka...Ni kawaida madikteta kuzikwa kama Panya.
Tena kilichoezekwa kabisa...hapo ujenzi gani unaendelea ndani ya kijumba cha mabati kidogo kama hivyo??
Kwani familia haiwezi kukijenga - tunamalizia miradi aliyoiachia hewani.Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Ninavyoelewa ni kuwa eneo line sasa hivi lina mvua nyingi sana kwa hiyo sishangai kama walijenga hilo banda kuwa temporarly shelter hadi mmvua zitakapokiwshaHii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Duuuuu!!.. na maua aliyowekewa yamenyauka yameanza kuwa takataka!!!Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754