Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Hakudhani kuwa ataishi milele, ndiyo maana alikuwa anasema atakapokuwa hayupo ametangulia watu watamkumbuka! Mtu anayesema hivyo hadhani kuwa ataishi milele.Kwa Magufuli alitakiwa kujengewa kibanda cha nyasi kabisa, mshenzi na muuaji mwenye roho mbaya alidhani ataishi milele