Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

VITU VYA MSINGI KWA WAZANZIBARI VINAJUILIKANWA WAZI KABISA

1) Mamlaka kamili ya Zanzbar kujiamulia mambo yake wenyewe BILA kuomba ruhusa kwa kikundi cha sisiem BARA mfn Mikopo, Udhamini nk.

2) Kuachiwa HURU kwa Mashehe, Ambao mpaka leo zaidi ya miaka 6 kesi yao inapigwa dani dani tuu bila haki kutendeka ( kama alivosema NDUGAI kumwambia Mh.Lissu kuwa mgombea wao wa CHATO "ana nyama" basi tunamuambia pia na MASHEHE "wana nyama" na wana Familia pia wawatendee haki, Dhulma haisaidii kitu)

3) Uhuru wa Zanzibar Kutumia rasilimazi zake wenyewe, kama MAFUTA nk

4) Makero ya Muungano ikiwemo kodi ( Hivi sasa Mzanzibari analipia bodi za mapato zote TRA na analipia ZRB ), pia Sulubu anayoipata Kuingiza mzigo/bidhaa BARA utasema nchi zina Uhasama.



Na mambo mengi mengi ambayo kimsingi yanahitaji muda kuyaeleza


Hayo yote mgombea wa Sisiem anayaruka kama hayaoni..

Kwanini tuendelee kuteseka na Alternative way ipo!!?

Nchi zina utajiri mkubwa lakini wananufaika wachache (kwa faida ya nani) !!?


HATUTAKI JANJA JANJA ZA KIKUNDI CHA SISIEMU

MAALIM NDIO KIPENZI NA SULUHISHO LA WAZANZIBARI
 
ACT Wazalendo LIVE KIBANDA MAITI 13/09/20 SAA 4 ASUBUHI
Image may contain: 1 person, crowd and outdoor

Image may contain: 1 person, crowd and outdoor

Image may contain: 3 people, crowd

Image may contain: 7 people, crowd and outdoor
 
Mungu mbariki Maalim Seif
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Mgombea wa Chadema atafungua lini kampeni?!
 
Asante maalim kwa kushiriki

Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein

Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli
Duuuu!!! Mbona unahangaika kiasi hiki? Kila thread na kila comment unataka kuijibu wewe huu utumwa ambayo unaufanya kama ungekuwa umejiajiri ungefika mbali kiuchumi lkn Kwa UJINGA wako wa kupewa buku7 unakutoa akili yaani tokea asubuh kazi hii Tu ya kucomment
 
Back
Top Bottom