Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Kwa tume hii. Atashinda na kufuta matokeo au kutangaza vinginevyo.
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Lissu bado yupo kanisani?
 
Asante maalim kwa kushiriki

Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein

Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli
Zanzibar tumekataa kuongozwa na familia, Maalim Sharif Hamadi ndie Kiongozi wa Taifa la zanzibar.
 
Wazanzibari walifanya wanachojua tangia 2015 ila JECHA akafanya yake
 
Nawapendaga sana Wazanzibar wakiamua yao huwa wanayatii , hata yakiwa sivyo huwa hawachoki kuonyesha kuwa wapo vile vile na wamenasa pale pale hata ipite miaka 100. Wazanzibar nawapenda kwa dhati kabisa kwa kusimamia kipenzi chao 😍😍😍😍
 
Toka lini Zanzibar ikatawaliwa na mtu toka Bara yakheee!
Safari hii hatutaki ukhanithi.
 
FB_IMG_1600002849676.jpg
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


CCM Zanzibar huwa wanajiandaa kupora tu, siyo kushiriki uchaguzi

Hata huyo Mwinyi wameshapeleka jeshi kwenda kumsimika kibabe.
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


CCM Zanzibar huwa wanajiandaa kupora tu, siyo kushiriki uchaguzi

Hata huyo Mwinyi wameshapeleka jeshi kwenda kumsimika kibabe.
 
Hakuna aliyemsaidia Rais Magufuli kushinda
Alishinda kwa kura nyingi za Watanzania

Na October atashinda kwa 97%
Kuna wengi tuliomchagua 2015 hatutampa 2020,
- sisi wafanyakazi wa migodeni,
- wafanyakazi wa bandarini,
- clearing and forwarding
- wafanyakazi wa bank
- wafanyabiashara
- tunaopoteza kazi kwa makampuni kupunguza watu, halafu hatuwezi kutoa NSSF zetu zitusaidie kama fao la kujitoa
- wakazi wa kimara- mbezi
- tuliohamishwa dodoma na kutenganishwa na familia zetu, gharama za maisha zimepanda kwa kuhudumia nyumba mbili Dar na Dodoma, lakini mshahara haujapanda hata centi
- wafanyakazi wa mabank
- n.k


Mkumbusheni mgombea wenu kuwa kazi ya serikali ni kusimamia sheria na kuweka mazingira rahisi ya wananchi wake kufanya biashara, sio serikali kwenda kushindana kufanya biashara na wananchi wake, nani anamsimamia na kumkagua yeye? Ushindani utatoka wapi kama serikali anakuwa yeye ndo regulator na yeye ndo anafanya biashara? Anajikaguaje?
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Cc Magonjwa Mtambuka, njoo uone mafuriko ya Act huku, acha kubwabwaja kama kuku aliekatwa shingo
 
Wanaompinga Rais Magufuli ni mafisadi na wauza madawa ya kulevya na wenye vyeti

Pole najua unaangukia humo
Kama vile makonda alivo fisadi mtoto, wauza madawa akina gsm mnawakumbatia na mafisadi akina subash na rostam wanaofadhili kampeni za ccm
 
Back
Top Bottom