Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Wazanzinar mwaka huu walinde ushindi wao sasa. Huku bara tumeshawarahisishia kazi.
 
Chadema ni genge la wahalifu na biashara haramu
Refer kazi ya Lema kabla hajawa Mbunge, na kazi ya Mbowe nyuma ya pazia
Umesahau kuhusu kazi ya gwajima ya kutapeli watu kwa kufufua wafu
 
Bora anayehubiri anajenga jamii bora vipi yule anashiriki mapenzi ya jinsia moja
Anajenga jamii kwa kufufua misukule? Huyo unaesema anashiriki mapenzi ya jinsia moja umeshashiriki nae mara ngapi mkuu, weka picha tuone ulivyokua unaenjoy

Vipi huyo anaehubiri unasemaje kuhusu ile video yake ya ngono nayo inajenga jamii
 
Asante maalim kwa kushiriki

Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein

Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli
Bodi ya utalii wa siasa inakutafuta uweze kupata takrima yako kwa kumtangaza mtalii huru
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Habari ndio hiyo
 
Sio mchezo, Mungu awasimamie wakapate haki yao
 
2518018_FB_IMG_1600002849676.jpg
 
Mwaka huu Maalim asirudi nyuma na kauli yake wala asikubali kuwekwa mezani venginevyo mara watu wanamgeukia yeye! Watu wamechoka kutawaliwa na maiti!
 
Maalim siku zote huwa anashinda chaguz zote, tatizo huwa ni tume ya uchaguzi na mwaka huu atashinda kura za wananchi ila tume itamtangaza Hussein
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Bado kidogo angefikia Nyomi la Hussein Mwinyi la jana.
 
Ila mnajua huyo Maalim Seifu aliyoenda Ikulu waliongea nini na jiwe?
 
Back
Top Bottom