Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Subiri funza wakutafune.Naona ndio sera yako mpya, pole sana, hayo ndio mafuriko na ccm inahara maana haina chake zanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri funza wakutafune.Naona ndio sera yako mpya, pole sana, hayo ndio mafuriko na ccm inahara maana haina chake zanzibar
Kumbe home boy wa mshua ndo manaAsante maalim kwa kushiriki
Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein
Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli
Umesahau kuhusu kazi ya gwajima ya kutapeli watu kwa kufufua wafuChadema ni genge la wahalifu na biashara haramu
Refer kazi ya Lema kabla hajawa Mbunge, na kazi ya Mbowe nyuma ya pazia
Anajenga jamii kwa kufufua misukule? Huyo unaesema anashiriki mapenzi ya jinsia moja umeshashiriki nae mara ngapi mkuu, weka picha tuone ulivyokua unaenjoyBora anayehubiri anajenga jamii bora vipi yule anashiriki mapenzi ya jinsia moja
Ni kazi ya Lubuva iliyomsadia... Ndiyo shukurani za punda hizo!!?Hakuna aliyemsaidia Rais Magufuli kushinda
Alishinda kwa kura nyingi za Watanzania
Na October atashinda kwa 97%
Bodi ya utalii wa siasa inakutafuta uweze kupata takrima yako kwa kumtangaza mtalii huruAsante maalim kwa kushiriki
Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein
Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli
Habari ndio hiyoNi hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!
Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.
Bado kidogo angefikia Nyomi la Hussein Mwinyi la jana.Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!
Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.
Sawa hata Sein atasema hivyo hivyo.. Ila kazi za Jecha na Lubuva 2015 hazitasahaulika.Rais Magufuli alishinda Urais hizo zingine ni umbea wa Chadema