Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mwaka huu Ccm mjiandae kung'atuka maana hata like bao la mkono halitakuwepo. Mgombea wenu baada ya kuingia ikulu alijisahau sana hata waliomsaidia aliwageuka
Wanatafutwa wengi waliomshauri m.kiti vibaya.Lipumba na Sakaya rudisheni hela za JIWE. Mlimdanganya kazi imeisha Zanzibar, sasa hiki nini kinachoendelea???
Babu,waaape salaaaaaamACT Wazalendo LIVE KIBANDA MAITI 13/09/20 SAA 4 ASUBUHI
Mkuu huyo ndie mwenye Id ya Jane Lowassasasa wewe uko Geita ya Zanzibar utayaonea wapi ?
asante kwa kumuanikaMkuu huyo ndie mwenye Id ya Jane Lowassa
Huyu jamaa kwa kiherehere yupo vzr usimjibu mpotezeesasa wewe uko Geita ya Zanzibar utayaonea wapi ?
Huyo hawezi kushinda pona yake iko kwa tume yake. That's all.Hakuna aliyemsaidia Rais Magufuli kushinda
Alishinda kwa kura nyingi za Watanzania
Na October atashinda kwa 97%
Mungu mbariki Maalim Seif
Mgombea wa Chadema atafungua lini kampeni?!Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!
Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.
Duuuu!!! Mbona unahangaika kiasi hiki? Kila thread na kila comment unataka kuijibu wewe huu utumwa ambayo unaufanya kama ungekuwa umejiajiri ungefika mbali kiuchumi lkn Kwa UJINGA wako wa kupewa buku7 unakutoa akili yaani tokea asubuh kazi hii Tu ya kucommentAsante maalim kwa kushiriki
Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein
Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli
Kwahiyo nape na kinana hawakupiga bao la mkono wakampa mchato uraisHakuna aliyemsaidia Rais Magufuli kushinda
Alishinda kwa kura nyingi za Watanzania
Na October atashinda kwa 97%
or else....Mpeni nchi yake Maalim Seif...... Wapeni wazanzibari nchi yao
Swali gani hili la kizezetaMgombea wa Chadema atafungua lini kampeni?!
Asante maalim kwa kushiriki
Watanzania tumeamua visiwani tumchague Hussein
Na Tanzania tunamchagua Rais Magufuli