- Thread starter
- #21
Pull out a leaf, don't bring trouble,"Évite les ennuis en gardant tes distances"The bloody-fundamentalist!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pull out a leaf, don't bring trouble,"Évite les ennuis en gardant tes distances"The bloody-fundamentalist!
***** nimekusoma chawa wa mzee mudi saidia fundiSheikh Mohammed Said ametoa historia ambayo babu zako wanaikubali, sio wewe uliosemeshwa historia za J2
Mkiguswa mnazingizia udini. Enzi hizo mkisema waslam hawakusoma. sasa mnakuja na hoja za udini. Jengeni hoja msirukie maswala mepesi ya udini. Swali langu la msingi. Kibatala kwanini kila swala anarukia lkn hili kakaa kimya?Tatizo udini umekujaa sana Hadi akili zimehama
Let's quit that all together old boy.Ila,haujanijibu ile komenti yangu ya kwanza nikuelewe.Pull out a leaf, don't bring trouble,"Évite les ennuis en gardant tes distances"
Mduguuu jamaaaaaaa analengaaa panapopitika hanging kizembeSitaki niandike mengi kwa kuwachosha watu huu ni muda wa kazi. Nitaweka point 2 tu zitatosha
1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? hataki na yeye kupata haki?
2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?
Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.
Ni hayo tu.
***** nimekusoma chawa wa mzee mudi saidia fundi
Ipi?Let's quit that all together old boy.Ila,haujanijibu ile komenti yangu ya kwanza nikuelewe.
Rudi mwanzo uisome.Pretending to be blind,huh?Ipi?
I am healthy, I can see further than youRudi mwanzo uisome.Pretending to be blind,huh?
Seeing with human eyes isn't compared unto (with)visions and foreseeing.I am healthy, I can see further than you
Seeing with human eyes is not the same as visions and foreseeingSeeing with human eyes isn't compared unto (with)visions and foreseeing.
Whatever it might be.Unashauriwa kuacha kuweka kila jambo kwenye mitazamo na misimamo ya kidini.Kwako imekuwa ni tabia sugu ya kubeba agenda kwa kanzu.Seeing with human eyes is not the same as visions and foreseeing
Sidhani kama walikuwa UWT wa Chama pendwa!Kama walivyomtetea mama wa nyamapori kule Iringa.
Kweli kabisa haukusikia hata matamko yao na kuona picha "walivyodamshi" na madera yao?🤔Sidhani kama walikuwa UWT wa Chama pendwa!
Kwa hiyo, wewe unasoma mind za watu wanafanya nini na wanataka kufanya nini? Kwani Chadema ina wakili mmoja tu na umeshajua wamepanga wafanye nini? Sijaona kama hoja zako zinajitosheleza kuonyesha ubaguzi wake, labda kama kuna hoja ambazo hukuandika hapa, labda hizo ndizo tusubiri. Mimi nazisubiri.Sitaki niandike mengi kwa kuwachosha watu huu ni muda wa kazi. Nitaweka point 2 tu zitatosha:
1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? Hataki na yeye kupata haki?
2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?
Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.
Ni hayo tu.
Dini inayokufanya uwe muongomuongo na mbea haikufaiSheikh Mohammed Said ametoa historia ambayo babu zako wanaikubali, sio wewe uliosemeshwa historia za J2
Ni liislamu janafunzi kindakindaki la mzee Mo SaidKwa hiyo, wewe unasoma mind za watu wanafanya nini na wanataka kufanya nini? Kwani Chadema ina wakili mmoja tu na umeshajua wamepanga wafanye nini? Sijaona kama hoja zako zinajitosheleza kuonyesha ubaguzi wake, labda kama kuna hoja ambazo hukuandika hapa, labda hizo ndizo tusubiri. Mimi nazisubiri.
Jumlisha ulalamishi na ubishiubishi bila msingi wowote.Ili mradi tu.Dini inayokufanya uwe muongomuongo na mbea haikufai
Hata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?Sitaki niandike mengi kwa kuwachosha watu huu ni muda wa kazi. Nitaweka point 2 tu zitatosha:
1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? Hataki na yeye kupata haki?
2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?
Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.
Ni hayo tu.