Kibatala ni Wakili mzuri lakini kinachomsumbua ni ubaguzi

Kibatala ni Wakili mzuri lakini kinachomsumbua ni ubaguzi

Hata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?

Ni hivi, ukishasomea utaalamu wako wa sheria, una haki ya kufanya ubaguzi nani unataka kumtetea.

Yani wakili hawajibiki kumtetea mtu yeyote unayetaka wewe amtetee.

Yeye ana haki ya kuamua anataka kuchagua kesi za matatizo ya familia tu, watu wanaoonewa katika ndoa tu, na hiyo ndiyo ikawa specialization yake.

Sasa hapo mtu akitaka kufanya specialization yake, kwa sababu zake anazozijua vizuri mwenyewe yeye, za kimkakati au kitaaluma, utamlaumu kwa ubaguzi?
Unahakika unachokisema?
 
Unahakika unachokisema?
Naam. Si ninachosema mimi tu.

Rais mstaafu wa Tanganyika Law Society ( aliyekuwa rais wa TLS kwa vipindi vitatu mfululizo) Mwanasheria Msomi na Wakili Mwandamizi Francis Stolla aliulizwa swali hilo jana Jumatatu July 15 2024 akajibu hivyo katika Ukumbi wa The Tanganyikan.

Maongezi yake yapo Clubhouse.

Nimekupa jibu langu, source ya mwanasheria anayeheshimika, rekodi ya wapi lilisemwa na tarehe.

 

Attachments

  • FB_IMG_1712327327529.jpg
    FB_IMG_1712327327529.jpg
    47.3 KB · Views: 1
Hata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?

Ni hivi, ukishasomea utaalamu wako wa sheria, una haki ya kufanya ubaguzi nani unataka kumtetea.

Yani wakili hawajibiki kumtetea mtu yeyote unayetaka wewe amtetee.

Yeye ana haki ya kuamua anataka kuchagua kesi za matatizo ya familia tu, watu wanaoonewa katika ndoa tu, na hiyo ndiyo ikawa specialization yake.

Sasa hapo mtu akitaka kufanya specialization yake, kwa sababu zake anazozijua vizuri mwenyewe yeye, za kimkakati au kitaaluma, utamlaumu kwa ubaguzi?
Ungemshauri akasomee shahada ya sheria hata Chuo kikuu cha Tumaini baadae aende school of law.
Zikitokea kesi ambazo Kibatala hazisimamii yeye achukue nafasi.
 
Sitaki niandike mengi kwa kuwachosha watu huu ni muda wa kazi. Nitaweka point 2 tu zitatosha:

1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? Hataki na yeye kupata haki?

2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?

Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.

Ni hayo tu.
Nonsense
 
Ungemshauri akasomee shahada ya sheria hata Chuo kikuu cha Tumaini baadae aende school of law.
Zikitokea kesi ambazo Kibatala hazisimamii yeye achukue nafasi.
Kuna watu wengi sana ni wepesi wa kuonesha kidole kuwa wenzao hawafanyi hiki na kile, wakati wao wenyewe hawafanyi lolote.
 
unataka kusema CHADEMA ni wabaguzi? yeye ndie mkuu wa sheria Chadema. au hujui?
Binti mbona kamtetea dogo mmoja ni muislamu lindi mpaka akapata haki yake aliyokataka kudhulumiwa na mkinga ambae ni mkristo?tena dogo alimpigia simu akamsimulia mkasa wote na kamsaidia bure kabisa
 
Binti mbona kamtetea dogo mmoja ni muislamu lindi mpaka akapata haki yake aliyokataka kudhulumiwa na mkinga ambae ni mkristo?tena dogo alimpigia simu akamsimulia mkasa wote na kamsaidia bure kabisa
Ndiyo maana tunaambiwa no research no right to speak. Huyu mwehu kaamka na chuki zake za kidini anaanzisha uzi kapigwa spana kaukimbia uzi wake.
 
Hata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?

Ni hivi, ukishasomea utaalamu wako wa sheria, una haki ya kufanya ubaguzi nani unataka kumtetea.

Yani wakili hawajibiki kumtetea mtu yeyote unayetaka wewe amtetee.

Yeye ana haki ya kuamua anataka kuchagua kesi za matatizo ya familia tu, watu wanaoonewa katika ndoa tu, na hiyo ndiyo ikawa specialization yake.

Sasa hapo mtu akitaka kufanya specialization yake, kwa sababu zake anazozijua vizuri mwenyewe yeye, za kimkakati au kitaaluma, utamlaumu kwa ubaguzi?
hahaha
 
Back
Top Bottom