Unahakika unachokisema?Hata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?
Ni hivi, ukishasomea utaalamu wako wa sheria, una haki ya kufanya ubaguzi nani unataka kumtetea.
Yani wakili hawajibiki kumtetea mtu yeyote unayetaka wewe amtetee.
Yeye ana haki ya kuamua anataka kuchagua kesi za matatizo ya familia tu, watu wanaoonewa katika ndoa tu, na hiyo ndiyo ikawa specialization yake.
Sasa hapo mtu akitaka kufanya specialization yake, kwa sababu zake anazozijua vizuri mwenyewe yeye, za kimkakati au kitaaluma, utamlaumu kwa ubaguzi?
Naam. Si ninachosema mimi tu.Unahakika unachokisema?
YapKama walivyomtetea mama wa nyamapori kule Iringa.
Chukua kitoweo hicho njaa inakusumbuaTafasiri ya udini ni pana. wengi wanachukulia uislam ni udini
Waongezee na uvccmKwanini nyie UWT msimtetee au na nyie ni wabaguzi?
UVCCM hawana akili timamuWaongezee na uvccm
Jamani kiukweli sijawahi kusikia Kibatala na udini,au sielewi mnachochangia??Tatizo udini umekujaa sana Hadi akili zimehama
Huyu Malaria Sugu ana chuki sana na Ukristo yeye mada zake siku zote ni za udini na kueneza chuki kwa Ukristo. inawezekana ni gaidi huyu.Jamani kiukweli sijawahi kusikia Kibatala na udini,au sielewi mnachochangia??
Maana mleta uzi ameweka points mbili tu.
Ungemshauri akasomee shahada ya sheria hata Chuo kikuu cha Tumaini baadae aende school of law.Hata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?
Ni hivi, ukishasomea utaalamu wako wa sheria, una haki ya kufanya ubaguzi nani unataka kumtetea.
Yani wakili hawajibiki kumtetea mtu yeyote unayetaka wewe amtetee.
Yeye ana haki ya kuamua anataka kuchagua kesi za matatizo ya familia tu, watu wanaoonewa katika ndoa tu, na hiyo ndiyo ikawa specialization yake.
Sasa hapo mtu akitaka kufanya specialization yake, kwa sababu zake anazozijua vizuri mwenyewe yeye, za kimkakati au kitaaluma, utamlaumu kwa ubaguzi?
Kumbe huyu mnafiki Malaria anakula nguruwe!!!Chukua kitoweo hicho njaa inakusumbua
NonsenseSitaki niandike mengi kwa kuwachosha watu huu ni muda wa kazi. Nitaweka point 2 tu zitatosha:
1. Umemsikia kumpigania kwa njia za mahakama kada wa CHADEMA wa Tanga aliopo mikono ya Polisi?Jiulize kwanini? Sio mwanachadema? Hataki na yeye kupata haki?
2. Lakini si ulimsikia alivyokuwa akiongoza kumtetea aliefungwa kwa kuchana picha ya Rais? Unadhani kwanini? anafanya kwa bahati mbaya?
Ipo mifano mingi na naweza kujaza kitabu kizima lakini kuokoa muda niandike haya.
Ni hayo tu.
Hata pombe anakunywa hadi anapindua gari.Kumbe huyu mnafiki Malaria anakula nguruwe!!!
Kuna watu wengi sana ni wepesi wa kuonesha kidole kuwa wenzao hawafanyi hiki na kile, wakati wao wenyewe hawafanyi lolote.Ungemshauri akasomee shahada ya sheria hata Chuo kikuu cha Tumaini baadae aende school of law.
Zikitokea kesi ambazo Kibatala hazisimamii yeye achukue nafasi.
Binti mbona kamtetea dogo mmoja ni muislamu lindi mpaka akapata haki yake aliyokataka kudhulumiwa na mkinga ambae ni mkristo?tena dogo alimpigia simu akamsimulia mkasa wote na kamsaidia bure kabisaunataka kusema CHADEMA ni wabaguzi? yeye ndie mkuu wa sheria Chadema. au hujui?
Ndiyo maana tunaambiwa no research no right to speak. Huyu mwehu kaamka na chuki zake za kidini anaanzisha uzi kapigwa spana kaukimbia uzi wake.Binti mbona kamtetea dogo mmoja ni muislamu lindi mpaka akapata haki yake aliyokataka kudhulumiwa na mkinga ambae ni mkristo?tena dogo alimpigia simu akamsimulia mkasa wote na kamsaidia bure kabisa
hahahaHata wewe mbaguzi, mawakili wote kwa nini umeamua kumsema Kibatala?
Ni hivi, ukishasomea utaalamu wako wa sheria, una haki ya kufanya ubaguzi nani unataka kumtetea.
Yani wakili hawajibiki kumtetea mtu yeyote unayetaka wewe amtetee.
Yeye ana haki ya kuamua anataka kuchagua kesi za matatizo ya familia tu, watu wanaoonewa katika ndoa tu, na hiyo ndiyo ikawa specialization yake.
Sasa hapo mtu akitaka kufanya specialization yake, kwa sababu zake anazozijua vizuri mwenyewe yeye, za kimkakati au kitaaluma, utamlaumu kwa ubaguzi?
Kuna Wabongo wanataka kumuondolea Kibatala haki ya kupima kesi ipi ni nzuri aichukue na ipi haitafaa kuichukua?hahaha