Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.

Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.

Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.

Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.

Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.

Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.

Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Moja ya sifa ya mwanasheria msomi ni kujimwambafai.... Kujikubali........punguza chuki mkuu kwa wasomi na matajiri
 
Selikal wamgekuwa hawashimdwi kesi
Ningekuelewa kuwa wapo wataalamu kuliko kibatala ila kwa kuwa wanashindwa basi acha tuone
 
Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.

Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.

Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.

Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.

Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.

Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.

Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Ww utakuwa ni mzee lazima na nyie ndio mnachangia mahakama zetu kutokufanya kazi kwa weledi Bali vitisho. Hapa unachosema ni sawa na kusema Simba au Yanga zitafungwa kwa Hila za marefarii kisa wasemaji wa timu hizo wanaongea kwa kubehi. Yaani umeongea upuuzi wa hali ya juu, na kuweka wazi udhaifu wa mahakama zetu.
 
Mungu ana miujiza, Pale MZUMBE class yetu ya LLB Kibatala Ndio alikuwa kilaza. Muulize Dr. Joel, Binamungu na Mavunde
Nyie mliokuwa vichwa mko wapi sasa hivi, au ndio mko mnapitia mikataba ya wizi ya serekali? Na mkipewa kesi kwenye mahakama za kimataifa mnaishia kuwa wachekeshaji?
 
Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi nimeshuhudia mawakili wengi wasomi kuliko wewe, mfano marehemu Dkt.Masumbuko Lamwai, Herbet Nyange, Mosses Maira, Mabere Nyaucho Marando, Professa Abdallah Safari nk.

Nilikuwa nashinda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwasikiliza mabingwa hao tu wakiwakilisha watu mahakamani, miongoni mwa mawakili waliobaki ni huyu msomi Majura Magafu.Huyu ni bingwa kuliko wewe Kibatala.

Kwanza kwenye roll of advocates nadhani Magafu ni senior kwako, lakini hata hivyo nimekuwa nikikuona sana Kibatala ukiongea kwa kebehi sana dhidi ya serikali.Kwa mfano leo katika kesi ya Boniface na Malisa unasoma hati ya mashtaka mbele ya waandishi wa habari kwa majivuno ukisema unawasubiri hao waliokuwa wakifanya press yaani Jeshi la Polisi na utaomba waitwe mahakamani ili uweze kuwahoji.

Ukaongea kwa kebehi eti nanukuu, " Tutaomba pia hao ambao mwanafamilia amesema ni jeshi waje pia kutoa ushahidi." mwisho wa kunukuu.

Maneno hayo ni ya dharau, kebehi na majivuno, huko serikalini kuna wanasheria wasomi kuliko wewe, kwanza unavyojifanya mjuaji naona kama unawatafutia balaa hao washtakiwa wawili, kesi ni ushahidi na ushahidi kuwa washtakiwa wametenda kosa ushahidi dhidi yao utathibitishwa mahakamani na hao unaowapa matumaini utawasababishia matatizo.

Wewe kujua sheria haina maana kuwa Jacob na Malisa hawawezi kuwa behind the bars, nakusihi sana Bro, navutiwa sana sana sana na uwezo na kipaji ulichonacho kisheria lakini sio sawa kuwa mjivuni, kudharau mamlaka kwa sababu tu una itikadi za Chadema.

Sasa Jamhuri itakupangia mawakili wa saizi yako na huyo Jacob atakonda mwenyewe baada ya mwezi.
Dua la kuku halimpati mwewe!
 
Sheria ina Nini, au ni huo upuuzi mnaotaka kuungiza wa kunyenyekewa?
kila muda umefura tu, relax bas kamanda 🤣

mahakamani hapana mzaha wala huruma kwenye mambo ya msingi 🐒
 
Ushauri mzuri sana.
Waswahili wanasema " kiburi si maungwana". Maana yake ni kuwa mtu mwenye heshima na busara hatakiwa kuwa na kiburi au dharau.
 
Hakuna dharau wala kebehi hapo wewe ni mjinga tu hujui haki za raia na wajibu wa mwanasheria.

Kama tuna tatizo Tanzania basi tatizo hilo ni kwamba wanasheria wetu si wakali vya kutosha, hawana kebehi za kutosha, hawana dharau za kutosha.
Watu hawajui kuwa mojawapo ya sifa ya wakili ni kuwa na dharau, kebehi, upole na unyenyekevu ya hali ya juu. Yote haya yanategemea na mazingira ya kesi na namna ya kumsoma na kumtingisha Adui kabla na baada ya kesi.
Mleta mada ni mnufaika wa kesi kwa njia moja au nyingine.
Anapanga kufanya haramu kuwa halali.
 
kuna wasiwasi wasiwasi mkubwa hawa ndugu washtakiwa wapotoshaji wakakosa kupata haki zao za msingi kwa majivuno, ubishi na ujuaji usio kua na tija wa wakili wao 🐒
Haki watakosa kwa misingi ya kisheria au kwa mapenzi ya watu wanaomchukia mwanasheria wao? Mbona ufichi ujinga ndugu.
 
Haki watakosa kwa misingi ya kisheria au kwa mapenzi ya watu wanaomchukia mwanasheria wao? Mbona ufichi ujinga ndugu.
kwa mizaha ya wakili wao ambae ni mahiri sana kujielaza kwenye media kuliko mahakamani 🐒
 
Kuna watoto wadogo wanafungua kesi mahakama ya Afrika na wanaishinda serikali ila sijaona wakijitapa...

Kuna mawakili walienda kupambania mali za nchi huko duniani na walipambana na mawakili wa kueleweka ila sijawahi kuona mbwembwe zao...

Huyu ndugu yenu ana Ego iliyozidi.
Acha kifundisha watu uoga, mmepandikiza wuoga Kila mahali, matokeo yake uwezo wa watu umefubaa. Watu wana elimu zao lakini wamegeuka kuwa majoga ya ajabu. Police wameshajua ni watuhumiwa, Sasa wanaanza kupandikiza uoga Ili wapindishe haki.
 
Kwenye jinai gwiji aliyebaki ni Majura tu! Jamaa anajua criminal law/practice mpaka anakera; ukimwona sasa physically yupo simpo kama mtu anaetumia ulanzi!

On the other hand Kibatala ni wa kawaida sana kesi zake za "kisiasa" ndo zinampa mileage
 
MJINGA MAMAKO
Hahaha hapa ni JF umefikia kwenye matusi, ungekuwa mahakamani wewe si ungekufa! (Mzoefu wa kuhudhuria mahakamani tangu enzi za kina Lamwai hadi kina Kibatala). Wewe ukiwa wakili ni dakika tatu chali.
 
kila muda umefura tu, relax bas kamanda 🤣

mahakamani hapana mzaha wala huruma kwenye mambo ya msingi 🐒
Sio hizo mahakama za kupigiwa simu Moja, rejea Rostam. Hizo mahakama unazosema hazina mzaha, si ndio hizo Makonda amesema hatuwezi kupata haki?
 
Back
Top Bottom