Kibatala wewe ni wakili mzuri na msomi lakini punguza majivuno na dharau dhidi ya mamlaka

Sio hizo mahakama za kupigiwa simu Moja, rejea Rostam. Hizo mahakama unazosema hazina mzaha, si ndio hizo Makonda amesema hatuwezi kupata haki?
kwahiyo ndugu zako wanajipeleka wenyewe kwenye mdomo wa Simba wenyewe kwa hiari yao dah, wanasindikizwa na wakili kabisa πŸ’

by the way ile nia na dhamira yako ya kugombea uongozi serikali za mitaa bado iko au imeyeyuka tena 🀣

I must offer and support you with something kwakweli πŸ’
 
Ni hivi, mkiwafunga mmewaonea, mkiwaacha mmewaogopa.

Sijawahi hata kutamani kupata vyeo vya kisiasa. Tena kwa hizi chaguzi za kishenzi naanzaje kwa mfano?
 
kuna uwezekano aliekuroga hatunae tena au ameokoka 🀣
Ni hivi, mkiwafunga mmewaonea, mkiwaacha mmewaogopa.

Sijawahi hata kutamani kupata vyeo vya kisiasa. Tena kwa hizi chaguzi za kishenzi naanzaje kwa mfano?
 
Ulitaka asomaje?
 
Kwani Rostam alisema nini kuhusu mahakama zetu hapo ndio kwenye majibu yote…
 
Nyie mliokuwa vichwa mko wapi sasa hivi, au ndio mko mnapitia mikataba ya wizi ya serekali? Na mkipewa kesi kwenye mahakama za kimataifa mnaishia kuwa wachekeshaji?
Nipo nakula miguu ya ng'ombe hapa chamwino
 
Ndio umeandika nini
Kwahio kwani viongozi wa serikali
Wao wanasifa ya Mungu hawakosei
Mpaka mtu akizungumza mazaifu yao

Hionekane anawadharau
Sasa hapo Kibatala kosa lake nini
Kusema polisi nao waitwe mahakamani
Na kama una wa amini mwakili serikali Malalamiko ya nini

Kwani wewe utaumia sana Boni na Malisa wakipatikana na hatia
Au shida yako nini

Au ww ni miongoni mwa hao polisi
 
Hili taifa lina watu wengi wa hovyo sana '' vijana wa hovyo'' ndio maana hatuendelei na wanasiasa wanatugeuza wanavyotaka.....uoga uoga tu kila mahali.
 
Mbona kama unamtisha vile ??? Acha kumtisha tusubiri muendelezo wa kesi
 
mwambie proud goes before a fall
 
Nipo nakula miguu ya ng'ombe hapa chamwino
Hii inaonyesha nyie hamkuwa na akili, bali mlikuwa mnakariri Ili mfaulu mitihani. Jamaa yeye alikuwa anajifunza kazi, ila hakuwa na uwezo mkubwa wa kukariri kama nyinyi.
 
Kina comte na mjingamimi yani nikiwakumbuka hawa wawili humu JF kwenye hiyo kesi bure kabisa.
Kibatala Kibatala-Alisema This is THE BIG ANSWER -wakili hajui kiingereza. Nishitaki na umuweke Kibatala wakili wako-mie namuondoa wa kwangu naendesha kesi mwenyewe na hanishidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…