Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Kwa nini huwa haambatani na mkewe pale kibangu kwenye kanisa lake?ana mke, alikuwa anatangaza tbc kipindi fulani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini huwa haambatani na mkewe pale kibangu kwenye kanisa lake?ana mke, alikuwa anatangaza tbc kipindi fulani.
1. Nambie ukweli ni upi?Una vuna dhambi Bure kwa Mungu/miungu unayoiabudu kwa kuandika uongo.
Achana na concept, mimi hata sina shida na Concept.1. Nambie ukweli ni upi?
2. Hiyo concept ya dhambi haina nafasi kwenye maisha yangu.
SI unit ya Kikristo ni Bible siyo Lusekelo, yeye alikuwa a nakumbushia turudi kwenye misingi. Tuachane na maneno ya wanaharakati wanasema bint hata akikohoa tu bikra inatoka! Waafrika tumeingizwa chaka tukakubali.lusekelo mwenyewe mkewe hakumkuta bikra. kwahiyo hakuoa?
Tena mila na tamaduni(miongozo) ya Kiafrika ili piga marufuku binti kujamiiana kabla hajaolewa. Tena akienda "unyago" wa nakaguliwa na makungwi wakikuta tobo, hafundishi huyo anahesabika mzoefu anarudishwa nyumbani kwao-aibu kwa wazazi wake. Hata siku ya ndoa mashangazi lazima wakakague mashuka, wasipokuta alama nyekundu atajua bint alisha kuwa mlango wa garage, malori, mabus na Bajaji zilisha pita-ndoa inaweza vunjika mahali ikarudishwa!Nani anajali tena hicho kitabu cha muongozo wa wazungu wa Karne ya 1 huko?
Tuna tamaduni zetu za kikabila, kitanzania na kiafrika, zina miongozo ya kufuata inayotosha
"Kibiblia mwanamke yeyote ukimkuta hana bikira huyo sio mke wako ni mke wa aliembikiri. Biblia inasema usimuache mke wa ujana wako ndoa ni agano na hakuna agano linafanyika bila damu. Agano la Mungu na wanadamu damu ya yesu ilimwagika.
Kwa hiyo agano la ndoa ni damu itoke yaani uone alama za ubikiri na mwanamke yule mwanaume wa kwanza aliembikiri huwa hamsahau kamwe" - Mchungaji Anthony Lusekelo(Mzee Wa Upako) akihojiwa Wasafi TV/FM
Wote wakiwa na upwilu wakikupelekea moto utakikimbia chumba bila nguo ya ndani!Serikali iruhusu sasa ndoa ya mke mmoja waume wawili ili twende sawa na maandiko.
Hapana. Sikuwa specific hivyo.Achana na concept, mimi hata sina shida na Concept.
Hata concept tu umedanganya mbali na Kusema kuna wamishenari walijenga hospital iliyokuwa inatibu wakristo tu.
Acha kujidanganya upwilu ukibamba hakuna cha vikoba wala marejesho, atachapiwa huko huko kwenye vikoba.Kwa kizazi hiki ni cha kuwaza ati mkeo atachapwa na aliembikiri wakati ana miaka 14 sijui 15 huko, hayo mambo labda wanawake wa zamani wasio waza vikoba na marejesho.
Siyo kweli aliyemwambia hivyo alikulisha matango pori. Wakristo wanaongozwa na imani ya UPENDO hivyo waliamini ukimtibu mtu asiye amini, huyo mtu utamvuta kukufuata kwa sababu umemuinyesha upendo siyo kutolea jambia.Hapana. Sikuwa specific hivyo.
Point ni mashule na hospitali au vituo vya afya vilipendelea waliogeukia ukristo kuliko walioamua kuendelea na imani zao.
Siku zote - wamisionari walifanya kazi ya kumtenganisha muafrika na utamaduni wake ili atawalike kirahisi.
Hata leo hii, wachungaji na mapadre wanasimamia utengano huo.
Chief, kadili unavyo endelea kuandika ndivyo unazidi kujifunua zaidi.Hapana. Sikuwa specific hivyo.
Point ni mashule na hospitali au vituo vya afya vilipendelea waliogeukia ukristo kuliko walioamua kuendelea na imani zao.
Siku zote - wamisionari walifanya kazi ya kumtenganisha muafrika na utamaduni wake ili atawalike kirahisi.
Hata leo hii, wachungaji na mapadre wanasimamia utengano huo.
bikra zinatoka kwa namna mbalimbali, sio lazima tendo.SI unit ya Kikristo ni Bible siyo Lusekelo, yeye alikuwa a nakumbushia turudi kwenye misingi. Tuachane na maneno ya wanaharakati wanasema bint hata akikohoa tu bikra inatoka! Waafrika tumeingizwa chaka tukakubali.
SahihiKi msingi bikra kwa mwanamke ni ishara ya uvumilivu, utii, heshma lakini ni ishara ya uaminifu kwa mumewe, na ni zawadi kubwa kuliko zawadi yoyote kwa mumewe. Hizi bikra mnazotoana kwa mabakuri ya chipsi zinaharibu sana wake za watu. Na ndio maana mwanamke haweziachana kamwe na mwanaume alomtoa bikra na hawezi kumsahau mpaka anakufa, kama mnabisha wadada mko humu semeni wengi tunaishi na wanawake sio wake zetu humu. Ki msingi mwanamke asiye bikra hata harusi kwake hatakiwi kufanyiwa coz wewe utakayelala naye hautakuwa na jambo jipya kwake.