Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Ndo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.
Hawakuwamaliza,walikimbilia msumbiji,ile ni project ya watu kwenye Swahili coast na biashara ya nishati,toka Somalia, Kenya, Tanzania mpaka msumbiji
 
Nilikua jirani yake kwake ubungo kibangu,Kuna siku alikua na jarida la jwtz,mtu wa kusoma Sana na ni humble,halafu very emotional,hakawii kutoa chozi,sema ni mpenda haki,yaani haki mbele,mkweli yule jamaa
Symphasizer wa ugaidi huyo sawa na mzee saidi wa humu jf,hao kaa nao mbali ni hatari.
 
UKIWA MAKINI BILA KUFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE UTAGUNDUA MUANDISHI NDIO ANATENGEZENEZA PICHA YA KUHUSISHA UISLAMU NA UGAIDI ETI KISA TU ANAANDIKA ANSAR SUNNA. HIZO NDIO PROPAGANDA TUNAZOZIKATAA KWA NGUVU ZOTE.! SEHEMU TAYARI UNAONA INA RASIMALI ZA KUTOSHA KAMA GESI SASA WW UNADHANI WAZUNGU WATAWAACHA KWA AMANI.

LAZIMA WATUMIE UISLAMU KAMA KIKI KUFANIKISHA MAMBO YAO NA TAYAR WA AFRICA AKILI ZA KUFIKIRIA NI FINYU BASI WAO WANABEBA KILA AINA YA NENO WANALOLISIKIA.

SASA HAO WAISALAMU HAPO WANAUA WATU ALAFU WAO WANAPATA FAIDA GANI.?? KISHA HIYO GESI WAIPELEKE WAPI ?? ALAFU KWANN WANAOKUFA NI HAO HAO WAISLAMU WAKAZI WA MAENEO HAYO.?? HUJIULIZI PIA
???????

KUNA VITU SENSITIVES HATUWEZI KUVIANDIKA HAPA MANA MSHAZOEA KUBISHANA MTAONA PIA NI UONGO MANA NYIE MKISHA AMINI KITU NDIO HICHO HICHO HAMBADILIKI MNA VICHWA VIGUMU VYA KUKUBALI UKWELI
???
Kwanini waisalam tu,kwani huko hakuna wakristo?usilamu ni dini ya hovyo iliyo na mafundisho ya hovyo,
 
Natamani niandike Uzi nielemishe wazazi watoto wanabebwa sana kuwa recruiting kwenye Ugaidi wa kike wanakuwa Al Shabab Bride wapewe mafundisho ya dini ambapo mtu akija kumpotosha asipotoke kama Zanzibar watoto wengi wanachukuliwa sana na Kenya.
Nikweli kabisa,kuna binti wakati fulani nilikua naye kwenye mahusiano,ni binti wa kiislamu,alinambia alipo maliza 4m4 alipelekwa pemba kwenye chuo cha kufundishwa dini,huko ilikua na mafunzo ya imani kali tu,hadi viboko walikua wanachapwa kama watoto,hawakuwahi kutoka nje hadi siku anaondoka na walisafirishwa usiku,mpaka leo ukimuuliza niwapi hawezi kupajua.

Kunashida kwenye hi dini ya kiislam.
 
Nikweli kabisa,kuna binti wakati fulani nilikua naye kwenye mahusiano,ni binti wa kiislamu,alinambia alipo maliza 4m4 alipelekwa pemba kwenye chuo cha kufundishwa dini,huko ilikua na mafunzo ya imani kali tu,hadi viboko walikua wanachapwa kama watoto,hawakuwahi kutoka nje hadi siku anaondoka na walisafirishwa usiku,mpaka leo ukimuuliza niwapi hawezi kupajua.

Kunashida kwenye hi dini ya kiislam.
Wewe mpiga punyeto upate wapi demu za kipemba
Wewe jichukulie sheria mkononi kwa picha zao
 
Ndo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.
Polisi walikua na moles,mission zao karibu zote zilikua zinafeli,hadi walipoletwa makomando na kumwaga usalama wa kutosha,ndio waliweza kukamata mmoja baada ya mwingine na kugundua misikiti kadhaa iliyokuwa ikitumika kama stoo za silaha na eneo la mafunzo kwa magaidi hayo.

Magaidi unamalizana nayo kigaidi,hakuna kupelekana mahakamani.
 
Ndo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.
Walimalizana nao hivi kwa kula kichapo na kuzikimbia silaha na magari yao
1717969200990.png


1717969046061.png
 
Nikweli kabisa,kuna binti wakati fulani nilikua naye kwenye mahusiano,ni binti wa kiislamu,alinambia alipo maliza 4m4 alipelekwa pemba kwenye chuo cha kufundishwa dini,huko ilikua na mafunzo ya imani kali tu,hadi viboko walikua wanachapwa kama watoto,hawakuwahi kutoka nje hadi siku anaondoka na walisafirishwa usiku,mpaka leo ukimuuliza niwapi hawezi kupajua.

Kunashida kwenye hi dini ya kiislam.
Dini haina shida
Shida wanao potosha kutumia mwamvuli wa dini Kwa maslahi yao
 
Back
Top Bottom