SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
- #201
Ready.Uzi namba 3 pls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ready.Uzi namba 3 pls
Tatu mkuusehemu ya ngapi?
Sehemu ya 3Ready.
Ndo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.Wa kibiti walikua wanaua viongozi wa CCM,polisi,hawakua raia,nilikua huko kipindi hicho,palikua na maneno mitaani kwamba hao jamaa walifunzwa na mtu/watu toka jeshini
Hawakuwamaliza,walikimbilia msumbiji,ile ni project ya watu kwenye Swahili coast na biashara ya nishati,toka Somalia, Kenya, Tanzania mpaka msumbijiNdo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.
Sehemu ya tatu jmn
Tatu mkuusehemu ya ngapi?
Ya
Tatu mkuu
Symphasizer wa ugaidi huyo sawa na mzee saidi wa humu jf,hao kaa nao mbali ni hatari.Nilikua jirani yake kwake ubungo kibangu,Kuna siku alikua na jarida la jwtz,mtu wa kusoma Sana na ni humble,halafu very emotional,hakawii kutoa chozi,sema ni mpenda haki,yaani haki mbele,mkweli yule jamaa
🙏Kinachoendelea Msumbiji, magaidi na Jeshi - Part 3
- Shambulizi la kigaidi mji wa Macomia mwezi jana. - Oparesheni ya SADC na jeshi la Rwanda. - Interest ya Kagame katika vita za wengine. Wa kwanza kufika hapa Msumbiji ni jeshi la Rwanda. Kwa makubaliano ya siri yalowekwa na raisi wa Msumbiji, Felipe Nyusi, na raisi wa Rwanda, Paul Kagame...www.jamiiforums.com
Kwanini waisalam tu,kwani huko hakuna wakristo?usilamu ni dini ya hovyo iliyo na mafundisho ya hovyo,UKIWA MAKINI BILA KUFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE UTAGUNDUA MUANDISHI NDIO ANATENGEZENEZA PICHA YA KUHUSISHA UISLAMU NA UGAIDI ETI KISA TU ANAANDIKA ANSAR SUNNA. HIZO NDIO PROPAGANDA TUNAZOZIKATAA KWA NGUVU ZOTE.! SEHEMU TAYARI UNAONA INA RASIMALI ZA KUTOSHA KAMA GESI SASA WW UNADHANI WAZUNGU WATAWAACHA KWA AMANI.
LAZIMA WATUMIE UISLAMU KAMA KIKI KUFANIKISHA MAMBO YAO NA TAYAR WA AFRICA AKILI ZA KUFIKIRIA NI FINYU BASI WAO WANABEBA KILA AINA YA NENO WANALOLISIKIA.
SASA HAO WAISALAMU HAPO WANAUA WATU ALAFU WAO WANAPATA FAIDA GANI.?? KISHA HIYO GESI WAIPELEKE WAPI ?? ALAFU KWANN WANAOKUFA NI HAO HAO WAISLAMU WAKAZI WA MAENEO HAYO.?? HUJIULIZI PIA
???????
KUNA VITU SENSITIVES HATUWEZI KUVIANDIKA HAPA MANA MSHAZOEA KUBISHANA MTAONA PIA NI UONGO MANA NYIE MKISHA AMINI KITU NDIO HICHO HICHO HAMBADILIKI MNA VICHWA VIGUMU VYA KUKUBALI UKWELI
???
Nikweli kabisa,kuna binti wakati fulani nilikua naye kwenye mahusiano,ni binti wa kiislamu,alinambia alipo maliza 4m4 alipelekwa pemba kwenye chuo cha kufundishwa dini,huko ilikua na mafunzo ya imani kali tu,hadi viboko walikua wanachapwa kama watoto,hawakuwahi kutoka nje hadi siku anaondoka na walisafirishwa usiku,mpaka leo ukimuuliza niwapi hawezi kupajua.Natamani niandike Uzi nielemishe wazazi watoto wanabebwa sana kuwa recruiting kwenye Ugaidi wa kike wanakuwa Al Shabab Bride wapewe mafundisho ya dini ambapo mtu akija kumpotosha asipotoke kama Zanzibar watoto wengi wanachukuliwa sana na Kenya.
Ngozi ya mtume huyoNi wewe kwenye hiyo avatar picha? 🥰🥰
Wewe mpiga punyeto upate wapi demu za kipembaNikweli kabisa,kuna binti wakati fulani nilikua naye kwenye mahusiano,ni binti wa kiislamu,alinambia alipo maliza 4m4 alipelekwa pemba kwenye chuo cha kufundishwa dini,huko ilikua na mafunzo ya imani kali tu,hadi viboko walikua wanachapwa kama watoto,hawakuwahi kutoka nje hadi siku anaondoka na walisafirishwa usiku,mpaka leo ukimuuliza niwapi hawezi kupajua.
Kunashida kwenye hi dini ya kiislam.
Polisi walikua na moles,mission zao karibu zote zilikua zinafeli,hadi walipoletwa makomando na kumwaga usalama wa kutosha,ndio waliweza kukamata mmoja baada ya mwingine na kugundua misikiti kadhaa iliyokuwa ikitumika kama stoo za silaha na eneo la mafunzo kwa magaidi hayo.Ndo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.
Walimalizana nao hivi kwa kula kichapo na kuzikimbia silaha na magari yaoNdo mana Police waliwashindwa mpaka JW Komando walipoingilia kati kuwa maliza.
Dini haina shidaNikweli kabisa,kuna binti wakati fulani nilikua naye kwenye mahusiano,ni binti wa kiislamu,alinambia alipo maliza 4m4 alipelekwa pemba kwenye chuo cha kufundishwa dini,huko ilikua na mafunzo ya imani kali tu,hadi viboko walikua wanachapwa kama watoto,hawakuwahi kutoka nje hadi siku anaondoka na walisafirishwa usiku,mpaka leo ukimuuliza niwapi hawezi kupajua.
Kunashida kwenye hi dini ya kiislam.
Wame-sympathise na gaidi gani!?Symphasizer wa ugaidi huyo sawa na mzee saidi wa humu jf,hao kaa nao mbali ni hatari.