Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Nchi za kiislamu huwezi kufanya ugaidi wala mambo ya hovyo kwa sababu huwezi kuchukua round lazima uapte unachostahili.
Somalia ni nchi ya kiislam. Mbona magaidi wanatamba na kuuwa watu kila kukicha
 
Somalia ni nchi ya kiislam. Mbona magaidi wanatamba na kuuwa watu kila kukicha
Somalia kuna kuingiliwa kweny maslahi ya nchi na watu wa magharibi ndio chanzo cha vita , libya chini ya Gaddaf ilikuwa safi ila sasa kaone balaa lake.
 
Ajaribu mtu, hatujawahi kushindwa
 
Kwako alikua ameongea jambo jipya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…