Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

Tanzania inapoelekea naionea huruma sana.

Wao wanasema JKT haitoi ajira 😀 ila cha kusikitisha wanawapa mafunzo halafu wanawarudisha mitaani mikono mitupu.

Tunapanda mahindi tunategemea tutavuna mpunga😀.

Kila mwaka unamwaga tu mitaani JKT waliokosa matumaini unategemea nini sasa ? ila walio kwenye connection mnawaajiri mnafikiri hawa wengine wanawatazama tu.

JWTZ NA JKT MNATENGENEZA MAGAIDI NA WAASI WENDA KWA KUJUA AU KWA KUTOKUJUA.
 
Kijana mmoja mwaka 2010 au 2009 kama sijakosea , alipelekwa huko kuna jamaa alikuwa anasafiri na magari ndio alimpa mchongo , akafika huko anasema hao jamaa wana kambi msituni mpaka mafunzo hayo mambo ya dini hayapo hata kuswali hawaswali yaani ni tofauti ..
kwanza hata sura zao hawajui kabisa wamejificha , aliambiwa atapewa mil 5 za kibongo miaka ile , mwishoe alisepa .

Wengine walienda kuchimba ruby hapo Montepuez , wakarudishwa maiti kumbe walajiunga na waasi ili wafanye kazi ya kupora mgodi badala ya kuchimba kama waajiriwa.
Mada kuhusu ugaidi upande wa dini za kiislamu unabidi kugeukiana wenyewe hii msemo "waislamu wote ni ndugu" mbona saudia na uturuki wanaogopa.
Kiufupi nakumba maneno ya mwalimu kuna siku mtamalizana wenyewe kwa wenyewe mkishinda pamoja
 
Mada kuhusu ugaidi upande wa dini za kiislamu unabidi kugeukiana wenyewe hii msemo "waislamu wote ni ndugu" mbona saudia na uturuki wanaogopa.
Kiufupi nakumba maneno ya mwalimu kuna siku mtamalizana wenyewe kwa wenyewe mkishinda pamoja
Nchi za kiislamu huwezi kufanya ugaidi wala mambo ya hovyo kwa sababu huwezi kuchukua round lazima uapte unachostahili.
 
Uzalendo huku wengine wakifanya ufisadi wa maburungutu ya pesa unachekesha sana wewe.

Na viongozi wenyewe wana majibu ya dharau kweli.

Nchi yangu inapoelekea naionea huruma tena hawa vijana wa leo wasio wavumilivu inasikitisha.

Panya road tu wa mapanga kiliwaka sasa hawa wa silaha kimbunga kinakuja.
Basil Mramba Wakati akiwa waziri wa uchukuzi alishawahi kusema

hata kama wananchi wakila nyasi, ndege ya raisi lazima inunuliwe”

Kuna muda viongozi wana kauli za dharau sana.
 
Makala murua kabisa. lakini wenye uwezo mdogo wa akili wataendelea kuishutumu dini badala ya mzizi halisi wa tatizo. Utawala mbovu wa serikali zetu na mgawanyo wa huduma usiojali wananchi, rushwa na ukandamizaji huzaa haya yote. Watu katika mazingira haya ni rahisi sana kurubuniwa na mabeberu ili tu msitulie na wao waendelee kuchota mali.
 
No wonder Magufuli aliwatandika wale jamaa bila huruma na wengine ndio wakakimbilia huko Msumbiji, hawafai wale wakiingia mtaani hawakumbuki ndugu, rafiki wala jirani, ni risasi tu zitatembea mpaka wamalize kazi yao.
 
Back
Top Bottom