Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Mada kuhusu ugaidi upande wa dini za kiislamu unabidi kugeukiana wenyewe hii msemo "waislamu wote ni ndugu" mbona saudia na uturuki wanaogopa.Kijana mmoja mwaka 2010 au 2009 kama sijakosea , alipelekwa huko kuna jamaa alikuwa anasafiri na magari ndio alimpa mchongo , akafika huko anasema hao jamaa wana kambi msituni mpaka mafunzo hayo mambo ya dini hayapo hata kuswali hawaswali yaani ni tofauti ..
kwanza hata sura zao hawajui kabisa wamejificha , aliambiwa atapewa mil 5 za kibongo miaka ile , mwishoe alisepa .
Wengine walienda kuchimba ruby hapo Montepuez , wakarudishwa maiti kumbe walajiunga na waasi ili wafanye kazi ya kupora mgodi badala ya kuchimba kama waajiriwa.
Nchi za kiislamu huwezi kufanya ugaidi wala mambo ya hovyo kwa sababu huwezi kuchukua round lazima uapte unachostahili.Mada kuhusu ugaidi upande wa dini za kiislamu unabidi kugeukiana wenyewe hii msemo "waislamu wote ni ndugu" mbona saudia na uturuki wanaogopa.
Kiufupi nakumba maneno ya mwalimu kuna siku mtamalizana wenyewe kwa wenyewe mkishinda pamoja
ISIS walikuwa wanafanya SyriaNchi za kiislamu huwezi kufanya ugaidi wala mambo ya hovyo kwa sababu huwezi kuchukua round lazima uapte unachostahili.
Basil Mramba Wakati akiwa waziri wa uchukuzi alishawahi kusemaUzalendo huku wengine wakifanya ufisadi wa maburungutu ya pesa unachekesha sana wewe.
Na viongozi wenyewe wana majibu ya dharau kweli.
Nchi yangu inapoelekea naionea huruma tena hawa vijana wa leo wasio wavumilivu inasikitisha.
Panya road tu wa mapanga kiliwaka sasa hawa wa silaha kimbunga kinakuja.
Syria na Iraq wamebaki mamluki wakina saddam hussein ahwapo huko ni vita daily .ISIS walikuwa wanafanya Syria
Huko Iraq mashambulizi ya Kigaidi kila siku au hizo nchi siyo za kiislam?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ili iweje?Mkuu si ungeunga hizi nyuzi?
Acha maswali ya kitoto.Ili iweje?
Ungejibu swali kwa ufafanuzi ungepungukiwa nini!?Acha maswali ya kitoto.