Asee, ebu weka namba hapa tusiongee sana ndugu Punga.Liongo wee, nia yako uzungumzie mashoga, mxxxieeeew.
Kwa mvuto gan ulonao wee kijebaa, tutolee uchuro wako hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona nimekanyaga kubaya Mashoga wametimba kunishambulia, mnisamehe bure siku ingine sisemi.Uongo mtupuu, nia yako useme ni shoga, hakuna shoga wa kufanya huo upuuzi.
Hii tabia ni wadada na wakaka straight, muwaache na muwapumzishe mashoga, khaaaah.
Tatizo unatumia hisia, ruhusu akili ielewe kisa.Wote ni wale wale tu na inawezekana wewe ndio huyo ulikuwa unachezea maumbile ya mwana umekuja hapa kujihami. Inawezekana vipi mtu asikujue aje akuchezee uume mbele za watu kwenye daladala alafu eti uliacha? Mbona sisi tunasafiri kwenye hizo daladala na mwendo kasi hatujawahi fanyiwa hivyo? Hii yako kama sio chai basi ni wewe ulikuwa unamfanyia hivyo mjuba.
Ulikua makini, ungejisahau ungesauliwa Mkuu.Kuna mshangazi anaonekana age around 37-42. Ni wale waliojichubua shavu jekunduu kwa uvaaji wake inaonekana ni mlinzi maeneo ya posta, tulipanda wote mwendokasi posta nilitakiwa nishuke fire nilipitiliza mpaka shekilango, alinisogezea zigo na ile jam nakwepa nayeye ananiletea alafu ananiangalia jicho la uchokozi na ufupi wake. Nilivyoshuka nilijisachi nikahakikisha kila kitu changu kipo maana mji una mengi wenye mengi.
Nyokoooo wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asee, ebu weka namba hapa tusiongee sana ndugu Punga.
Uache uongoooo, mfyuuuuhNaona nimekanyaga kubaya Mashoga wametimba kunishambulia, mnisamehe bure siku ingine sisemi.
πUache uongoooo, mfyuuuuh
Kwendraaaa[emoji867]
Wa kati au huo ulioukaliaKwa uchumi gani
Ngapi hukoooπ€ͺUnakuta jitu limekuganda kwenye daladala kama ruba.
Ukigeuza wowowo limo tu, ukisogea mbele linakuvamia huko huko. Unabambiwa mpaka wowowo linaumuka.
Ukigeuka kumwangalia anageuza shingo anajifanya anahesabu sisimizi. Ukigeuka mbele anaendelea kukubambia mpaka unahisi jitu limetuna.
Sasa dawa imepatikana, kuna mavazi spesho kutoka Italy yenye mimba kama nungunungu. Unavaa hilo hakuna dungadunga atakusogelea.
Sketi ina miba mchongoko. Ukigusa nchale, ukisogea nchale.
Tutaelewana tu.
ππKwendraaaa
[emoji1][emoji1][emoji1]wewe na mleta mada ni pipa na mfuniko.
Mfyuuuh[emoji867][emoji867]
Hakuna straight siku hizi[emoji28]Uongo mtupuu, nia yako useme ni shoga, hakuna shoga wa kufanya huo upuuzi.
Hii tabia ni wadada na wakaka straight, muwaache na muwapumzishe mashoga, khaaaah.
Ili ukale kitu kitumaAsee, ebu weka namba hapa tusiongee sana ndugu Punga.
Sijapanda mwendokas siku nyingi, napenda kubambiwa mie hasa asbh na jioni yaan rahaUnakuta jitu limekuganda kwenye daladala kama ruba.
Ukigeuza wowowo limo tu, ukisogea mbele linakuvamia huko huko. Unabambiwa mpaka wowowo linaumuka.
Ukigeuka kumwangalia anageuza shingo anajifanya anahesabu sisimizi. Ukigeuka mbele anaendelea kukubambia mpaka unahisi jitu limetuna.
Sasa dawa imepatikana, kuna mavazi spesho kutoka Italy yenye mimba kama nungunungu. Unavaa hilo hakuna dungadunga atakusogelea.
Sketi ina miba mchongoko. Ukigusa nchale, ukisogea nchale.
Tutaelewana tu.
Kumbe tangazoNjoo dukani kwetu ujinyakulie suruali yenye miba kama nungu nungu.
Bei sawa na bure. Mtu akijaribu kugusa dushe lako anapigwa na kichomi.
π πHata mvae zenye shoti ya umeme nitakubambia tuu Bora nipigwe shoti tuu nikufe!!
[emoji23][emoji23][emoji23] Niletee 5 zenye miba Kila mahali15000 yenye miba kwenye zipu tu, na 20000 yenye mimba kila mahali.