Wengine wanaweza kuona umeandika kitu cha hovyo lakini umeandika kitu kikubwa sana!.Chanzo kikuu cha kushamiri kwa matapeli wa kila aina nchini, kunatokana na udhaifu wa serikali iliyoko madarakani.
Share hiyo clip hapa ,maana uwasilishaji wako ni wa mwendo kasiKlip yake anasema jamaa wa ubungo..
Inaonekana manabii na mitume ni kama association flani hivi wanajuana na huwa wanasaidiana kuinuana. Sasa jamaa kageuka mbogo kuona yeye katimuliwa wenzake wanafanya zaidi ya utapeli wake wanakula maisha. Kaamua kuwalipua/kuwachafua.
mkuu umekaa kishamba sana!Inakuaje kuwahusisha watu system na upuuzi, yaani jamaa wa kawe ni system? Kwa hiyo system hufanya abrakadabra kwa wananchi? Halafu hiyo siyo injili, hao manabii wa viingilio vya hela, udongo, maji na mafuta hawahubiri injili
Bongo wagalatia wengi mazuzu!acha wapigweJamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.
Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.
Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani mbagala akaweka alafa jwenye mkutani akafukua kama amagundua uchawi.
Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.
Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.
Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
kivipi nimekaa kishamba? Haya wewe mjanja eleza!mkuu umekaa kishamba sana!
Jamaa wapuuzi sana,wanaacha kudili na matapeli wanaochafua dini yao,wapo bize na kobazi sijui kobazaCha kushangaza wakristo badala wajadili na kupambana na hao wapuuzi walio igeuza dini yao kuwa kichaka cha kutapeli watu ,wao wako bize kuanzisha rundo la nyuzi za kukejeli na kuwakashifu waisilam hapa jf.
mbona huwa wanakula za uso tu hao matapeli, huwa husomi nyuzi hizo kwa kuwa haziwasemi waislam?Cha kushangaza wakristo badala wajadili na kupambana na hao wapuuzi walio igeuza dini yao kuwa kichaka cha kutapeli watu ,wao wako bize kuanzisha rundo la nyuzi za kukejeli na kuwakashifu waisilam hapa jf.
Kweli watu wanaopigwa ni wale wapo kwenye matatizo na kuumwa tu.MTU akiwa na matatizo au akiwa anaumwa Sana huwa inafika wakati anaamini katika mambo Kama hayo.
Ni muhimu watu waendelee kujitakasa na kuishi maisha ya Amani hii itapunguza watu kukimbilia huko Kwa Kiboko ya "WACHAWI"
Pambaneni na uchachu ulio jazana kwenye dini yenu acheni kuwashwa washwa na waisilam.mbona huwa wanakula za uso tu hao matapeli, huwa husomi nyuzi hizo kwa kuwa haziwasemi waislam?
Tunattakiwa kuwasaidia wote.Pambaneni na uchachu ulio jazana kwenye dini yenu acheni kuwashwa washwa na waisilam.
Hilo swali lako ndio jibu la mashaka yako.Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.
Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.
Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.
Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.
Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.
Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
mbona mimi niliwahi kumuona huyo kuhani Musa na sikudaiwa hiyo milioni 5 anayosema. niliingia bure kabisa kumuona na nikasaidiwa bure kabisa mpaka matatizo yangu yameisha. na kizuri zaidi kipawa na karama aliyopewa na kwangu imeanza kufanya kazi kwa sababu ilikuwa ni sehemu ya maombi yangu mwaka wa tano sasa.Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.
Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.
Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.
Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.
Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.
Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
to the top ni uislam, hao wengine feki wanakula za uso saizi yao sambamba nyie wote wenye kuamini imani na dini feki zenye mafundisho ya uongoPambaneni na uchachu ulio jazana kwenye dini yenu acheni kuwashwa washwa na waisilam.